Huyo ungekuwa nae karibu angekupiga, sio kwa maneno hayo. Mwanamke anakuwaje na mdomo kiasi hicho aisee.Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
🤣🤣🤣bora wewe umeachwa ila anawivu bado na ww kuna watu wanaachwa vibaya asikwambie Mtu
check huyu View attachment 2878506
Hela zao ni zao, zetu pia ni zao.Eti usinipigie hesabu mshahara wangu. Kmmk
Wazee wa changu changu, chako changu.Hela zao ni zao, zetu pia ni zao.
Na wanaambiana hivyo kwenye vikao vyao
Hivi mnafanyafanyaje mpaka wanawake wanawaacha?Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Hela zao ni zao, zetu pia ni zao.
Na wanaambiana hivyo kwenye vikao vyao
Kwa hizo chats hamjaachana na hamuwezi kuachana
We si unajiita chizi ndo universe imekuletea chizi mwenzio.....hizo ni karaha tu ndogo ndogo na za kawaida kwenye mapenzi.
Ukisema huna pesa sijui wanajua huwapendi?Huwa naitumia sana na wanasepa bila kulalamika
bora wewe umeachwa ila anawivu bado na ww kuna watu wanaachwa vibaya asikwambie Mtu
check huyu View attachment 2878506
Asilimia kubwa wala hawataki uwapende kihivyoUkisema huna pesa sijui wanajua huwapendi?
Tatizo mijanajike ya kibongo wanatumia nyuchi zao kama mtaji na kuona kufanya nao mapenzi ni huduma kubwa sana wamekufanyia ambayo unapaswa uilipie.Ukisema huna pesa sijui wanajua huwapendi?
Sema tunaishi nao kibabe hivo hivo😂Tatizo mijanajike ya kibongo wanatumia nyuchi zao kama mtaji na kuona kufanya nao mapenzi ni huduma kubwa sana wamekufanyia ambayo unapaswa uilipie.
Kibongo bongo mwanamke kutongozwa anahisi kama matatizo yake yote yameisha na ndio fursa ya kutafuta matatizo mapya.
Ngoja nimsaidie kukuporomoshea matusi mwanaume wewe Malaya mkubwa usiye na haya unakaa na mtoto wa kike wa mtu miezi sita bila kuonyesha nia ya kuoa au kupeleka Posa Kwa wazazi wake mzinzi mkubwa weweHuyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Mmhhh!!! Sasa hapo lugha chafu iko wap kwan kuna nini hapo kasongea kipya?😂😂Binti ana lugha chafu sanaa...
Kuhusu baridi kanunue blanket