nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Sina kipaji cha kuandika sana ila nitaeleza kwa ufupi.
Ni ukweli usiopingika kwamba kila mtu ana ndoto za kuwa tajiri. Pia nimejifunza kuwa utajiri sio bahati nasibu. Ili kuufikia utajiri unahitaji kufuata hatua za utajiri.
Nimeamua kufuata hatua za utajiri na nina uhakika nitaufikia. Najua wengi mtakuja kwa kunibeza nakusema naota ndoto za mchana. Ila ukweli ni kwamba mnamo mwaka 2037 nitakua na utajiri wa ajabu.
Nataka niseme kitu hapa. Ili uwe tajiri ni lazima uwe na plan za muda mrefu. Miaka 20 Si mchezo na hiyo hiyo ni michache sana kama utauchezea muda. Kwa upande wangu nimejipanga na ninajua ni vikwazo gani nitapitia.
Na endapo sitakua hai kufika kipindi hicho, nimeweka mpango madhubuti wa kuhakikisha vizazi vyangu vinafanikisha hili jambo.
Nimeandaa urithi wa elimu ya hiki ninachokifanya ambacho kitawapa mwanga wa kuendeleza na kutimiza ndoto zangu
Ni hayo tu. Tukutane mwaka 2037
Ni ukweli usiopingika kwamba kila mtu ana ndoto za kuwa tajiri. Pia nimejifunza kuwa utajiri sio bahati nasibu. Ili kuufikia utajiri unahitaji kufuata hatua za utajiri.
Nimeamua kufuata hatua za utajiri na nina uhakika nitaufikia. Najua wengi mtakuja kwa kunibeza nakusema naota ndoto za mchana. Ila ukweli ni kwamba mnamo mwaka 2037 nitakua na utajiri wa ajabu.
Nataka niseme kitu hapa. Ili uwe tajiri ni lazima uwe na plan za muda mrefu. Miaka 20 Si mchezo na hiyo hiyo ni michache sana kama utauchezea muda. Kwa upande wangu nimejipanga na ninajua ni vikwazo gani nitapitia.
Na endapo sitakua hai kufika kipindi hicho, nimeweka mpango madhubuti wa kuhakikisha vizazi vyangu vinafanikisha hili jambo.
Nimeandaa urithi wa elimu ya hiki ninachokifanya ambacho kitawapa mwanga wa kuendeleza na kutimiza ndoto zangu
Ni hayo tu. Tukutane mwaka 2037