Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,955
- 122,247
Kitambulisho chake ni muhimu, usiache kwenda.Hata kujiandikisha sitajisumbua
Kitambulisho chake ni muhimu, usiache kwenda.Hata kujiandikisha sitajisumbua
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Unataka tuwe na mawazo sawa kama yako mkuu?Ni makamongo tu ndiyo wanaweza kuandika upuuzi kama huu. Pole sana kwa KUTOJITAMBUA. Siku ukitia akili kichwani urudi hapa kuja KUTUBU kwa upuuzi uliouandika.
TUTAONAWATU WANAENDA KUMWAGA MBOGA 2020 HIVYO ! ENDELEA KUWAZA HIVYO
Unataka tuwe na mawazo sawa kama yako mkuu?
Kwa nini mwingine akienda kinyume na kile ukiwazacho/kitakacho wewe kiwe kosa,
Aya niambie kutokujitambua kwangu kukoje? Niambie pia kosa gani nimefanya la kufanya nije kutubu?
Pia niambie ni Upuuzi gani nilioundika mpaka wewe umeona ni upuuzi?
Kama hakuna jibu la msingi Basi 2020 nitaenda na JPM jemedari, Jiwe Chuma tena steal kabisa, Chuki yako ni kazi bureeeeee.
JPM 2020
Kuna mafisi ya kijani mengi tu pale Lumumba, nenda ukaungane nao kuchagua ukatili, roho mbaya, uuaji na ushetani!Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Tatizo wapinzani nao huwa hawaeleweki kwenye kusimamisha watu waoYeyote nitakapoamua mimi, shurti asiwe kutoka CCM
Bora Ibilisi maana twajua mienendo yake kuliko mnafiki na muuajiKama hauko na JPM basi upo upande wa Ibilisi, team roho mbaya
Nnda naye peke yako.Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Hii inatuthibitishia kua si wewe tu mwenye mtindio wa ubongo, ni pamoja na familia yako!Mimi na familia yangu tupo na magu
Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Msimamo wangu upo pale pale, nitachagua yeyote haijalishi awe wa namna gani isipokuwa asiwe kutoka CCMTatizo wapinzani nao huwa hawaeleweki kwenye kusimamisha watu wao