Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,745
- 15,221
Kuna Wakati ukiongea, watu tunapata nafasi ya kujua ujinga au Umahili wako.
Umebaki mwaka mmoja tuingie kwenye uchaguzi mkuu lakini hakuna hata flyover moja iliyoanzishwa kujengwa wakati ilani ya ccm 2020 - 2025 imeahidi maflyover kibao mapya kujengwa kwenye jiji la Dares salaam!
1. Prof Mbarawa
2. Mchechu wa NaHC
3. Mafuru wa Hazina
4. January makamba
5. Kinana
6 Nape Nnauye
7. Mramba wa Tanesco
8. Prof Assad
9. Mwigulu Nchemba
Hawa wote aliwajua na kuwafuta kazi
Prof. Assad ameongelea issue ya Bandari Kwa maoni yake, ana Haki ya kutoa maoni. Ila maoni yake ya hovyo sana. Tunashukuru hakalii kiti Cha CAG. Msingi wa hoja hii ni ufuatao ambao alipaswa kujiuliza kuhusu Mkataba wa Bandari
1) Nani aliandaa Mkataba ni sisi au mwekezaji?
2) Kwanini kukiwa na Material Breach of Contract Mkataba uendelee?
3) Tuki develop Capacity yetu tukataka kuindesha wenyewe Bandari yetu, nafasi yetu ikoje? Hii ni nafasi Kwa vizazi vijavyo
4) Kwanini Zanzibar haimo pamoja na Uzuri na manufaa yanayaoongelewa?
5) Mkataba wa TICS ulikuwaje?
6) Tukishindwa kuelewana tunatokaje?
7) Tutajuaje Mikataba ya utekelezaji itakavyokuwa wakati itakuwa SIRI ya watu wachache na Bandari ni Uti wa mgongo wa uchumi wetu?
Unaweza kuongeza ya kwako.
Kutokana na kuacha hayo maswali na kuhangaika na watu wanaopinga Makataba Kwa madai kuwa hawajui Sheria za uwekezaji, namshukuru JPM kumstaafishi huyu Prof. Assad.
Umebaki mwaka mmoja tuingie kwenye uchaguzi mkuu lakini hakuna hata flyover moja iliyoanzishwa kujengwa wakati ilani ya ccm 2020 - 2025 imeahidi maflyover kibao mapya kujengwa kwenye jiji la Dares salaam!
1. Prof Mbarawa
2. Mchechu wa NaHC
3. Mafuru wa Hazina
4. January makamba
5. Kinana
6 Nape Nnauye
7. Mramba wa Tanesco
8. Prof Assad
9. Mwigulu Nchemba
Hawa wote aliwajua na kuwafuta kazi
Prof. Assad ameongelea issue ya Bandari Kwa maoni yake, ana Haki ya kutoa maoni. Ila maoni yake ya hovyo sana. Tunashukuru hakalii kiti Cha CAG. Msingi wa hoja hii ni ufuatao ambao alipaswa kujiuliza kuhusu Mkataba wa Bandari
1) Nani aliandaa Mkataba ni sisi au mwekezaji?
2) Kwanini kukiwa na Material Breach of Contract Mkataba uendelee?
3) Tuki develop Capacity yetu tukataka kuindesha wenyewe Bandari yetu, nafasi yetu ikoje? Hii ni nafasi Kwa vizazi vijavyo
4) Kwanini Zanzibar haimo pamoja na Uzuri na manufaa yanayaoongelewa?
5) Mkataba wa TICS ulikuwaje?
6) Tukishindwa kuelewana tunatokaje?
7) Tutajuaje Mikataba ya utekelezaji itakavyokuwa wakati itakuwa SIRI ya watu wachache na Bandari ni Uti wa mgongo wa uchumi wetu?
Unaweza kuongeza ya kwako.
Kutokana na kuacha hayo maswali na kuhangaika na watu wanaopinga Makataba Kwa madai kuwa hawajui Sheria za uwekezaji, namshukuru JPM kumstaafishi huyu Prof. Assad.