Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lissu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lissu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa sio tuu Lissu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa

Wewe hujajiandika utakufa lini, hii ndiyo shida ya uandishi wako! Kwa hiyo wewe utaishi milele siyo!
 
Le mutuz alikuwa ndani Gari iliyoshiriki shambulio tayari kafa na cyprian msiba yupo hoi pamoja ha Gilibet yule aliyemtolea bunduki Nape yupo jela kwa kosa la kupora pesa za mfanyabiashara na kisha kumuua
 
Le mutuz alimwekea Sumu Luge akafa akajua ataishi milele na yeye kaja kufa bila mke wala familia
 
Kufa ni kufa tu kijana hata wewe pia utakufa waliompiga risasi nao watakufa na lissu nae atakufa....ndio dunia ilivyo yaani kufa ingekuwa adhabu ya kundi fulani asee dunia tungetesena sana bahati nzuri uwe mwema uwe mbaya utakufa tu... so kijana chill kufa sio laana ni human nature... hata mimi nitakufa hata unasoma hapa utakufa so sio big deal sana wala sio laana kamwe
Mkumbushe naona kasahau nakuona kifo sio sehemu yake yeye.

Mkwawa aliejinyonga (kufa) mwaka 1898 na ww ukafa mwaka 2024 hakuna tofauti wote mnakuwa mmekufa na kuacha ulimwengu na usijue kinacho endelea tena huku duniani.


Mkuu hutakiwi kujivunia kufa kwa mtu ilihal aliekufa hadaiwi karo ya shule, hadaiwi kodi ya nyumba, hadaiwi kodi za TRA, Hasumbuliwi na wana siasa na kuchanganyikiwa akili kama ulovyofanywa wewe hapo, hapati taarifa za misiba ya ndugu zake na kushtuka moyo (shock), hauguzi ndugu na jamaa, hawazi kiwanja wala mali za kuachia urithi watoto.

Kwa kifupi kufa na kwenyewe ni jambo jema tu as part ya cycle ya Maisha.
 
Mkumbushe naona kasahau nakuona kifo sio sehemu yake yeye.

Mkwawa aliejinyonga (kufa) mwaka 1898 na ww ukafa mwaka 2024 hakuna tofauti wote mnakuwa mmekufa na kuacha ulimwengu na usijue kinacho endelea tena huku duniani.


Mkuu hutakiwi kujivunia kufa kwa mtu ilihal aliekufa hadaiwi karo ya shule, hadaiwi kodi ya nyumba, hadaiwi kodi za TRA, Hasumbuliwi na wana siasa na kuchanganyikiwa akili kama ulovyofanywa wewe hapo, hapati taarifa za misiba ya ndugu zake na kushtuka moyo (shock), hauguzi ndugu na jamaa, hawazi kiwanja wala mali za kuachia urithi watoto.

Kwa kifupi kufa na kwenyewe ni jambo jema tu as part ya cycle ya Maisha.
Kama hakuna tofauti wewe unafanya nini hapa duniani kwenye kila aina ya mahangaiko?
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lissu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lissu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa sio tuu Lissu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa

Membe, Lowasa, kaka yake Mbowe nao ni wahusika?
 
Kwema Wakuu!

Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lissu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lissu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.

Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa sio tuu Lissu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.

Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.

Acha Nipumzike sasa
Mitume wa Mwenyezi Mungu wote wamekufa,Yesu mwenyewe kafa na miaka 30 tu,(Ayubu 14:1
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke <br>Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. )Kifo hakina cha mbaya wala mwema terehe yako ikifika unaondoka hata kama ni mwema kiasi gani.Vijana Mbowe mkikosa agenda mnaleta ujinga hapa jukwaani
 
Mitume wa Mwenyezi Mungu wote wamekufa,Yesu mwenyewe kafa na miaka 30 tu,(Ayubu 14:1
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke <br>Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. )Kifo hakina cha mbaya wala mwema terehe yako ikifika unaondoka hata kama ni mwema kiasi gani.Vijana Mbowe mkikosa agenda mnaleta ujinga hapa jukwaani

Sawasawa.
 
Kufa ni kufa tu kijana hata wewe pia utakufa waliompiga risasi nao watakufa na lissu nae atakufa....ndio dunia ilivyo yaani kufa ingekuwa adhabu ya kundi fulani asee dunia tungetesena sana bahati nzuri uwe mwema uwe mbaya utakufa tu... so kijana chill kufa sio laana ni human nature... hata mimi nitakufa hata unasoma hapa utakufa so sio big deal sana wala sio laana kamwe
Ingekuwa kaka Yako ndo kapigwa risasi Wala usingeandika hivi, au tuambie mtu akimpiga panga babako hautafanya chocchote kwakuwa nawe utakufa?
 
Ninachojua wagombea uraisi 2015 kwa asilimia kubwa wameshalamba mchanga.
Kifo kinakuja regardless umefanya na kuishi kwa namna gani hapa duniani.
 
Back
Top Bottom