scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,671
- 940
Zimebaki siku chache kukamilisha mwaka 2014 ambao kuna mengi yametokea ..mazuri na mabaya yote tumepitia
Maisha bado yanaendelea na muda si mrefu tutaanza mwaka mwingine wa 2015
Je ni jambo gani unalikumbuka na kamwe hautolisahau katika mwaka huu 2014..karibu tufahamishane wakuu
Kwangu mimi sitasahau nilivyo achana na mke wangu baada ya kumfumania na mwanajeshi..
Maisha bado yanaendelea na muda si mrefu tutaanza mwaka mwingine wa 2015
Je ni jambo gani unalikumbuka na kamwe hautolisahau katika mwaka huu 2014..karibu tufahamishane wakuu
Kwangu mimi sitasahau nilivyo achana na mke wangu baada ya kumfumania na mwanajeshi..