Haupo ki mjadala kijana, unanipotezea muda, miongoni mwa adabu za mjadala ni kuwa makini na hoja anazo kuandikia aliye dhidi yako, wewe umakini huna, rejea nyuma huko uone maswali ambayo hujajibu.Maswali yapi ?
Unasema imeandikwa sisi ikimaanisha?
Sasa habari hizi zina chain, na zimetiliwa nguvu na chain ambayo haina mashaka,sasa wewe leta chain hata ya UONGO hapa tuone.Hahahah mithili hiyo ndo ya kushite kemetic spiritual science yaani LEGACY ....URITHI.
Haupo ki mjadala kijana, unanipotezea muda, miongoni mwa adabu za mjadala ni kuwa makini na hoja anazo kuandikia aliye dhidi yako, wewe umakini huna, rejea nyuma huko uone maswali ambayo hujajibu.
Haupo ki mjadala kijana, unanipotezea muda, miongoni mwa adabu za mjadala ni kuwa makini na hoja anazo kuandikia aliye dhidi yako, wewe umakini huna, rejea nyuma huko uone maswali ambayo hujajibu.
Sasa habari hizi zina chain, na zimetiliwa nguvu na chain ambayo haina mashaka,sasa wewe leta chain hata ya UONGO hapa tuone.
Kwahiyo usilazimishe tufanane kijana.
Tuliza akili kwanza, angalia ulichokiandika kisha rejea nilichokiandika uone viko sawa. Naona unaingia usipo paweza siyo.
Nasema hivi mpaka unakufa, huwezi kuikosoa Qur'aan.
Ahsante.
Post # 386Maswali yote yamejibiwa ila wewe swali ni chain tu ndo nimejibu in general soma hivyo vitabu utaona chain kuanzia beggining mpaka sasa acha uvivu
The Big Bang inaelezeaje ?Chain gani unataka nimekupa kitabu kinachoelezea from creation sijui unataka nini au huwezi kusoma
Bigbang haina evidence.The Big Bang inaanzaje kwani ?
Ushawahi kuhakiki habari hizo ? Ulichukua hatua gani siku ya kwanza kuambiwa au kusoma habari za Kemetic ?
Hakuna kitu kinachoitwa nguvu za uumbaji bali kuna "Muumbaji".
Hiyo ni lugha ya uwasilishaji ya kutoa hadhi kwa anaye husika. Hilo kilugha lipo sana, yaani wingi kuwasilisha umoja kwa lengo la kuweka hadhi na utukufu juu ya mtendaji. Mfano katika Kiswahili mtu anawza kusema "Kiatu kama hiki tuna vaa watu kama sisi" muda ambao muhusika ni mmoha ila ametumia wingi ili kukipa hadhi kile anacho kiwasilisha. Hili swali la kitoto saba umeuliza.Tumewaumba sisi ni wakina nani hao?
Hiyo ni lugha ya uwasilishaji ya kutoa hadhi kwa anaye husika. Hilo kilugha lipo sana, yaani wingi kuwasilisha umoja kwa lengo la kuweka hadhi na utukufu juu ya mtendaji. Mfano katika Kiswahili mtu anawza kusema "Kiatu kama hiki tuna vaa watu kama sisi" muda ambao muhusika ni mmoha ila ametumia wingi ili kukipa hadhi kile anacho kiwasilisha. Hili swali la kitoto saba umeuliza.
Marejeo yako yalikuwa wapi katika huo utafiti wako ?Nimewahi kuhakiki na kukuta ni indoctrination na elimu za kusukwa kwa maslahi kusudiwa
Nilihakiki na kujiridhisha maana milango ya fahamu yote ilishabiana na kuyapokea kwa huru usio na mashaka yani inner peace.
Sijakuuliza kwamba ina evidence au haina, nimekuonyesha kwamba siyo kila masimukizi yanayo elezea chanzi cha kitu ni ya kweli.Bigbang haina evidence
Naweza kuthibitisha hilo, na nikamtoa mtu muongi katka hiyo chain, au mtu ambaye hajulikani katika hiyo chain. Katika elimu ya rijali (wapokezi wa habari) huwa kuna fani ya kuwachambua wapokezi kwa kusoma historia zao, kujua tabia zao kujua wapi walikuwa wanapokea habari wanazo zinukuu.Nshajibu bigbang haina source ya explosion kwahiyo ni upuuzi
Je katikati ya chain ikaungwa uwongo unaweza thibitisha na hukuwepo
Kazi kweli kweli, huyo ni mmoja na huo ni muundo wa lugha katka kila lugha upo, kutumia wingi kuwasilisha umoja wenye hadhi. Kijana hapa tunaongelea Elimu.Acha kuruka sisi wakina nani hao,angali Muumba ni mmoja hata utukufu upo chini yake?
Sasa fatilia habari zangu kwa minajili hiyo homeworkNaweza kuthibitisha hilo, na nikamtoa mtu muongi katka hiyo chain, au mtu ambaye hajulikani katika hiyo chain. Katika elimu ya rijali (wapokezi wa habari) huwa kuna fani ya kuwachambua wapokezi kwa kusoma historia zao, kujua tabia zao kujua wapi walikuwa wanapokea habari wanazo zinukuu.
Muda huo sina mzee.Sasa fatilia habari zangu kwa minajili hiyo homework
Si kweli ndo maana hata biblia inasema tumemuumba kwa mfano wetu meaning sisi,hapa kuna siri kubwa sanaKazi kweli kweli, huyo ni mmoja na huo ni muundo wa lugha katka kila lugha upo, kutumia wingi kuwasilisha umoja wenye hadhi. Kijana hapa tunaongelea Elimu.
Nakuonyesha sasa ya kuwa huyo ni mmoja,Allah aliye juu anasema :
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni mmoja.
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. (al Ikhlwaas : 1 - 4 )