Mwafrika ndio kiumbe wa kwanza ulimwenguni

Mwafrika ndio kiumbe wa kwanza ulimwenguni

Kemetic spiritual science inaanza na how the neteru au nature au maat how creation begin within ,hatua kwa hatua mpaka civilization and discoveries,europoids wanavyoanza nao kudevelope na kuanzisha vita na waafrica enzi na enzi na ancestors zetu ,kubadilisha taswira,elimu,uwizi wa technology.
Hata "the standard Model (The Big Bang) " nayo inaeleza hatua kwa hatua, hata evolution nayo inaeleza hatua kwa hatua, kwahiyo kueleza tu siyo hoja, hoja ni je hayo yaliyo elezwa ni kweli ? Sasa acha kufikiri kitoto.
 
Haya yote ni miaka ya 4000bc kurudi nyuma na hii yote ni kwa kutumia tafiti za waafrica wenyewe na jumbe zilizochorwa kama urithi katika kuta na mapango na kingine baadhi ya teknologia zilizokuwa zikutumika huku kwetu,nachotaka kukuambia weka hisia na hulka za itikadi pembeni kidogo,jaribu kutumia akili yako binafsi kudadavua misingi ambayo ni huru kwa akili na moyo ndani ya milango yako ya ufahamu.
Nakuuliza swali dogo tu, nani wa kwanza kuandika hizi habari na alijuaje habari za miaka 4000bc bila kuweka "chain" ,sasa achani kupenda story bila kuzihakiki.
 
Hata "the standard Model (The Big Bang) " nayo inaeleza hatua kwa hatua, hata evolution nayo inaeleza hatua kwa hatua, kwahiyo kueleza tu siyo hoja, hoja ni je hayo yaliyo elezwa ni kweli ? Sasa acha kufikiri kitoto.
Tumia akili kemetic inaanza na nguvu ya uumbaji
 
Ni sawa na kusema nani wa kwanza kuandika habari za berlin conference 1884 ndo usome vitabu vya kutosha uunge chain we unasubiriwa uungiwe
Nakuuliza swali dogo tu, nani wa kwanza kuandika hizi habari na alijuaje habari za miaka 4000bc bila kuweka "chain" ,sasa achani kupenda story bila kuzihakiki.
 
Tumia akili kemetic inaanza na nguvu ya uumbaji
The Big Bang inaanzaje kwani ?

Ushawahi kuhakiki habari hizo ? Ulichukua hatua gani siku ya kwanza kuambiwa au kusoma habari za Kemetic ?

Hakuna kitu kinachoitwa nguvu za uumbaji bali kuna "Muumbaji".
 
Ni sawa na kusema nani wa kwanza kuandika habari za berlin conference 1884 ndo usome vitabu vya kutosha uunge chain we unasubiriwa uungiwe
Safi kabisa, wewe umeshaziunga hizo chain ? Tuwekee hapa ?

Mimk nina misingi kabisa ya kupata chain.
 
Weka ushahidi huo,hasa hapa kwenye umri, sasa kwa akili ya kawaida tu wewe ulitaka nani aanze kumpa habari, zaidi ya mwanandani wake ? Na mama Khadija alikuwa mwanamke hasa.

Sasa sijaelewa lengo lako ulipotaja umri kwamba umri siyo kigezo cha kupewa habari au mwanamke hapaswi kupewa habari ? Hoja yako iko wapi ?
Huyo mwanamke alijuaje huyo jibril ni ibilisi au malaika?japo hajamwona na kwanini amwambie baada ya kuhaditbiwa na siyo amwambie direct?
 
Thibitisha
The Big Bang inaanzaje kwani ?

Ushawahi kuhakiki habari hizo ? Ulichukua hatua gani siku ya kwanza kuambiwa au kusoma habari za Kemetic ?

Hakuna kitu kinachoitwa nguvu za uumbaji bali kuna "Muumbaji".
 
Huyo mwanamke alijuaje huyo jibril ni ibilisi au malaika?japo hajamwona na kwanini amwambie baada ya kuhaditbiwa na siyo amwambie direct?
Twende kwa kufata utaratibu, nimekuuliza maswali jibu kisha nijibu yako.

Najibu maswali yako haya, ila ujue una deni la maswali yangu.

Pili, swali lako umeuliza lakini inaonekana hujui habari ya tukio hilo lilikuwaje. Baada ya mtume kutokewa ba malaika yule, akarudi nyumbani kwa hofu mke wapi akamuuliza imekuwaje, kaanza kumuhadithia, kisha mke wake alikuwa ana ndugu yake aitway Waraqah bin Nawfal huyu kwa wakati huo alikuwa mtu mzima kiumri na alikuwa na elimu juu ya vitabu vya kale, yaani Injki, Torati na Zaburi, huyu ndiyo alisadikisha habari hizo za kuwa yule aliye mtokea mtume ni malaika Jibril, na huwa hamtokei mtu isipokuwa mtu huyo huja kuwa mtume.
 
Torati na zaburi hapa patamu..sasa torati imetokea wapi si kwa musa au?twende taratibu
Twende kwa kufata utaratibu, nimekuuliza maswali jibu kisha nijibu yako.

Najibu maswali yako haya, ila ujue una deni la maswali yangu.

Pili, swali lako umeuliza lakini inaonekana hujui habari ya tukio hilo lilikuwaje. Baada ya mtume kutokewa ba malaika yule, akarudi nyumbani kwa hofu mke wapi akamuuliza imekuwaje, kaanza kumuhadithia, kisha mke wake alikuwa ana ndugu yake aitway Waraqah bin Nawfal huyu kwa wakati huo alikuwa mtu mzima kiumri na alikuwa na elimu juu ya vitabu vya kale, yaani Injki, Torati na Zaburi, huyu ndiyo alisadikisha habari hizo za kuwa yule aliye mtokea mtume ni malaika Jibril, na huwa hamtokei mtu isipokuwa mtu huyo huja kuwa mtume.
 
Thibitisha
Ukiwa unaulizwa maswali uwe unajibu, kinyume na hapo huu mjadala unakuwa hauna maana.

Kuhusu uthibitisho wa kuwa kuna Muumbaji na hakuna nguvu ya uumbaji, nakuthibitishia kwa njia mbili, nazo ni :
1. Self-Evident Truth

Kitu chochote unachokiona ambacho kipo katika umbile fulani, ujue yupo aliye kisanifu, mwenye maarifa, mwenye uwezo, mwenye malengo na hekima juu ya kitu hicho.

Ulimwengu na vyote vilivyomo, haujatokana pasi na chochote au ulimwengu wenyewe umejitengeneza, hili haliwezekani, ni sawa na leo hii utuambie "Simu" hii aidha imejitengeneza au imetokana pasi na chochote, ila uwepo wa simu unatoa ishara hizo nilizo zitaja apo juu, na hili ndivyo lipo katika upande wa Ulimwengu.

2. Ufunuo yaani Qur'aan
Anasema Allah mtukufu :

38. Na bila ya shaka Sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao mnamo siku sita; na wala hayakutugusa machofu. (Qaf : 38 )

Angalizo, usipo jibu maswali niliyo kuuliza, nasitisha mjadala mpaka utakapo jibu maswali niliyo kuuliza.

Ahsante.
 
Torati na zaburi hapa patamu..sasa torati imetokea wapi si kwa musa au?twende taratibu
Safi kabisa, unesoma kwanza nilicho kiandika vizuri ? Sijasema alikuwa na hivyo vitabu bali alikuwa na elimu juu ya vitabu hivyo na kumbu kumbu hizo zilikuwepi, sababu ekimu huenda kwa kurithishana.
 
Hata Hadithi pia ni masimulizi, yaani hapa ni sawa umeandika hivi "Quraan ni masimulizi na masimulizi"(Elimu ya maana za maneno inahitajika sana kwenu).

Chukulia mfano sasa baada ya hizo "Findings" kupatikana aidha iwe michori au mfano wake, maana ya hiyo michoro unairejea wapi kwenye masimulizi au michoro yenyewe unajielezea ? Sasa usiandike mambo kwa mihemko, bali fikiria kisha jenga hoja.

Unapo sema Quraan haina uhalisia bila kuonyesha hilo, hii ni ishara ya kuwa wewe ni muongo, na mpaka unakufa huwezi kuonyesha kutokuwa na uhalisia kwa Qur'aan (Hapa, nacheka sana), ngoja nikupe uhalisia tu mmoja wapo katika Qur'aan,nanukuu :

Anasema Allah mtukufu

34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. (at - Tur : 34 - 36 )

Sasa ukija tena uje na ushahidi wa kuonyesha ya kuwa Qur'aan haina uhalisia hata kidogo.
Nikikuambia hiyo quraan yako ni upuuzi unabisha. Eti wameumbwa pasipo na kitu. Achana na hadith za Mudy.
 
Utajuaje chain bila tafiti wewe au kwasababu umeletewa kitabu na mwarabu umezama direct
Sasa embu niwekee chain japo ya watu wanne tu toka katika kile kitabu cha "The Stolen Legacy" kisha hiyo chain iwe imetokea moja kwa moja kwa mtu wa kwanza aliye ona na kushuhudia hicho kilicho andikwa humo.
 
Maswali yapi ?
Unasema imeandikwa sisi ikimaanisha?
Ukiwa unaulizwa maswali uwe unajibu, kinyume na hapo huu mjadala unakuwa hauna maana.

Kuhusu uthibitisho wa kuwa kuna Muumbaji na hakuna nguvu ya uumbaji, nakuthibitishia kwa njia mbili, nazo ni :
1. Self-Evident Truth

Kitu chochote unachokiona ambacho kipo katika umbile fulani, ujue yupo aliye kisanifu, mwenye maarifa, mwenye uwezo, mwenye malengo na hekima juu ya kitu hicho.

Ulimwengu na vyote vilivyomo, haujatokana pasi na chochote au ulimwengu wenyewe umejitengeneza, hili haliwezekani, ni sawa na leo hii utuambie "Simu" hii aidha imejitengeneza au imetokana pasi na chochote, ila uwepo wa simu unatoa ishara hizo nilizo zitaja apo juu, na hili ndivyo lipo katika upande wa Ulimwengu.

2. Ufunuo yaani Qur'aan
Anasema Allah mtukufu :

38. Na bila ya shaka Sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao mnamo siku sita; na wala hayakutugusa machofu. (Qaf : 38 )

Angalizo, usipo jibu maswali niliyo kuuliza, nasitisha mjadala mpaka utakapo jibu maswali niliyo kuuliza.

Ahsante.
 
Nikikuambia hiyo quraan yako ni upuuzi unabisha. Eti wameumbwa pasipo na kitu. Achana na hadith za Mudy.
Tuliza akili kwanza, angalia ulichokiandika kisha rejea nilichokiandika uone viko sawa. Naona unaingia usipo paweza siyo.

Nasema hivi mpaka unakufa, huwezi kuikosoa Qur'aan.

Ahsante.
 
Safi kabisa, unesoma kwanza nilicho kiandika vizuri ? Sijasema alikuwa na hivyo vitabu bali alikuwa na elimu juu ya vitabu hivyo na kumbu kumbu hizo zilikuwepi, sababu ekimu huenda kwa kurithishana.
Hahahah mithili hiyo ndo ya kushite kemetic spiritual science yaani LEGACY ....URITHI.
 
Back
Top Bottom