aLMASI HAINA FAIDA YOYOTE NA tANZANIA
Enzi hizo............Makongolosi Chunya nayo ilikuwa inakubalika, Malkia alikuja mwenyewe kuchukua kilos and kilos of gold pale.........sasa hivi yamebaki mahandaki matupu.........Mwadui ilikua zamani bwana,Ulaya ndogo
Mwadui diamond mineHivi Tanzania kunachimbwa diamond?
Swimming pool kule kwa meneja,Gari la kupitisha maziwa asubuhi,shule nzuri,ilikuwa zaidi ya ulayaHe he he Mwadui ilikuwa raha jamani kama ulaya
kuna Nyumba kubwa, Boidi ya Chini, Juu, Compaund,
He he siku hizi kwisha habari yake
Swimming pool kule kwa meneja,Gari la kupitisha maziwa asubuhi,shule nzuri,ilikuwa zaidi ya ulaya
Swimming pool kule kwa meneja,Gari la kupitisha maziwa asubuhi,shule nzuri,ilikuwa zaidi ya ulaya
Ha ha ha ha kweli wewe umeishi. Unakumbuka "Dungu" na ile mikate ya "Duka Kubwa" na "Banzi" na "Keki" ha ha ha
Kweli Mwadui tulikula raha, Unakumbuka "Songwa" Recration"
Ha ha ha ha kweli wewe umeishi. Unakumbuka "Dungu" na ile mikate ya "Duka Kubwa" na "Banzi" na "Keki" ha ha ha
Kweli Mwadui tulikula raha, Unakumbuka "Songwa" Recration"
DA, kumbe na wewe umo!Ha ha ha ha kweli wewe umeishi. Unakumbuka "Dungu" na ile mikate ya "Duka Kubwa" na "Banzi" na "Keki" ha ha ha
Kweli Mwadui tulikula raha, Unakumbuka "Songwa" Recration"
DA, kumbe na wewe umo!
Duka Kubwa....pale kwa mama nguya keki na banzi...kumbuka wewe...kiuma uma..wewe? Kumbuka mitaa ya kawawawa,karume,uhindini....fire Line polisi sekoutoure? 1980's wakati wa trekta la maziwa na token za maziwa fresh na mgando?
Ile Ilikuwa Inaitwa English Medium School....Na mwalimu kasoyaga ndio alikuwa head pale...siku hizi sijui wanaita Anglican English Medium School Imechoka ntaweka picha zake gate kama zizi hii masiku....madarasa hayajawahi fanyiwa repair kamwe....