Mwabukusi: Kama Kiongozi wa Umma hataki mambo yake yawe wazi kwa Umma, aachie Ofisi

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,896
3,206
Nchi zetu za Kiafrika kila kitu ni changamoto sana.

Viongozi wetu wanatamani kuwa viongozi wa Umma, lakini hawataki mambo yao yoyote yajulikane na Umma, Ajabu kwa kweli.

Ndiyo maana Wakili Msomi Boniface Mwabukusi aliwahi kusema kwamba; 'Kama kiongozi wa Umma hataki mambo yake yajulikane na Umma au hataki kuulizwa Ulizwa au kufuatiliwa fuatiliwa, basi aachie Ofisi zetu tuchague wale ambao wako tayari kuwajibika'.

Haiwezekani tuwatunze, tuwalishe, tuwalipe mishahara tena mikubwa sana na posho juu, halafu hamtaki hata tujue mko wapi hata kama hatujawaona ofisini kwa miezi na miezi!

Mkumbuke sisi ndio waajiri wenu. Kama mko likizo, au mnaumwa au mko ziarani ndani na nje ya nchi, tunapaswa kujua. Vinginevyo itakuwa ni dharau ya mfanyakazi (kiongozi/viongozi) kwa mwajiri wake (Umma).
Povu ruksa.
 
Taarifa nilizo nazo ni kwamba jamaa maini yake yanaoza. Kila wataalamu wakijaribu kudhibiti maini yanaendelea kuoza tu.
 
Nchi zetu za Kiafrika kila kitu ni changamoto sana.

Viongozi wetu wanatamani kuwa viongozi wa Umma, lakini hawataki mambo yao yoyote yajulikane na Umma, Ajabu kwa kweli.

Ndiyo maana Wakili Msomi Boniface Mwabukusi aliwahi kusema kwamba; 'Kama kiongozi wa Umma hataki mambo yake yajulikane na Umma au hataki kuulizwa Ulizwa au kufuatiliwa fuatiliwa, basi aachie Ofisi zetu tuchague wale ambao wako tayari kuwajibika'.

Haiwezekani tuwatunze, tuwalishe, tuwalipe mishahara tena mikubwa sana na posho juu, halafu hamtaki hata tujue mko wapi hata kama hatujawaona ofisini kwa miezi na miezi!

Mkumbuke sisi ndio waajiri wenu. Kama mko likizo, au mnaumwa au mko ziarani ndani na nje ya nchi, tunapaswa kujua. Vinginevyo itakuwa ni dharau ya mfanyakazi (kiongozi/viongozi) kwa mwajiri wake (Umma).
Povu ruksa.
Jamaa ni mwoga hatari, ukimwona anavyochimba mkwara utafikiri ni THE GREAT KALII , UNDER TAKER , AU UMAGA. Lakini Sasa akiamza kutafuta na vyombo vya Dola anajichbia kwenye handaki kama Hamas😄😄
 
Nchi zetu za Kiafrika kila kitu ni changamoto sana.

Viongozi wetu wanatamani kuwa viongozi wa Umma, lakini hawataki mambo yao yoyote yajulikane na Umma, Ajabu kwa kweli.

Ndiyo maana Wakili Msomi Boniface Mwabukusi aliwahi kusema kwamba; 'Kama kiongozi wa Umma hataki mambo yake yajulikane na Umma au hataki kuulizwa Ulizwa au kufuatiliwa fuatiliwa, basi aachie Ofisi zetu tuchague wale ambao wako tayari kuwajibika'.

Haiwezekani tuwatunze, tuwalishe, tuwalipe mishahara tena mikubwa sana na posho juu, halafu hamtaki hata tujue mko wapi hata kama hatujawaona ofisini kwa miezi na miezi!

Mkumbuke sisi ndio waajiri wenu. Kama mko likizo, au mnaumwa au mko ziarani ndani na nje ya nchi, tunapaswa kujua. Vinginevyo itakuwa ni dharau ya mfanyakazi (kiongozi/viongozi) kwa mwajiri wake (Umma).
Povu ruksa.
Mwache aendelee kuficha kifo kitakuja kumuumbua. Wakati Magufuli alipofariki walificha na kuamua kukaa na mwili hadi walipoamua kutangaza. Na walipomficha Daudi Balali, walisema eti kafariki wakati ndugu zangu hawajawahi kujulishwa wala kuhudhuria msiba. Mungu anawaona hawa machawa wa pubic hair.
 
Nchi zetu za Kiafrika kila kitu ni changamoto sana.

Viongozi wetu wanatamani kuwa viongozi wa Umma, lakini hawataki mambo yao yoyote yajulikane na Umma, Ajabu kwa kweli.

Ndiyo maana Wakili Msomi Boniface Mwabukusi aliwahi kusema kwamba; 'Kama kiongozi wa Umma hataki mambo yake yajulikane na Umma au hataki kuulizwa Ulizwa au kufuatiliwa fuatiliwa, basi aachie Ofisi zetu tuchague wale ambao wako tayari kuwajibika'.

Haiwezekani tuwatunze, tuwalishe, tuwalipe mishahara tena mikubwa sana na posho juu, halafu hamtaki hata tujue mko wapi hata kama hatujawaona ofisini kwa miezi na miezi!

Mkumbuke sisi ndio waajiri wenu. Kama mko likizo, au mnaumwa au mko ziarani ndani na nje ya nchi, tunapaswa kujua. Vinginevyo itakuwa ni dharau ya mfanyakazi (kiongozi/viongozi) kwa mwajiri wake (Umma).
Povu ruksa.
Ni kweli kabisa! Dhana ya kwamba kiongozi ni mtumishi wa umma naona huwa inabadilika kwamba kiongozi ni bosi wa umma. Yaani mtu akishakuwa kiongozi anakuwa bosi na umma ndiwo unaokuwa mtumishi wa bosi. Practice ya uongozi katika nchi zetu iko hivyo ingawa kinadharia viongozi ni watumishi, lakini in practice viongozi ni mabosi/mabwana wetu.
 
Taarifa nilizo nazo ni kwamba jamaa maini yake yanaoza. Kila wataalamu wakijaribu kudhibiti maini yanaendelea kuoza tu.
Hii itakuwa madhara ya muda mrefu ya corona? Maana huu ugonjwa yawezekana yapo mengi hatukuambiwa. Wagonjwa walikuwa wanalalamika maumivu makali kwenye maeneo ambapo maini yapo kuelekea mgongoni 😥😥😥
 
Nchi zetu za Kiafrika kila kitu ni changamoto sana.

Viongozi wetu wanatamani kuwa viongozi wa Umma, lakini hawataki mambo yao yoyote yajulikane na Umma, Ajabu kwa kweli.

Ndiyo maana Wakili Msomi Boniface Mwabukusi aliwahi kusema kwamba; 'Kama kiongozi wa Umma hataki mambo yake yajulikane na Umma au hataki kuulizwa Ulizwa au kufuatiliwa fuatiliwa, basi aachie Ofisi zetu tuchague wale ambao wako tayari kuwajibika'.

Haiwezekani tuwatunze, tuwalishe, tuwalipe mishahara tena mikubwa sana na posho juu, halafu hamtaki hata tujue mko wapi hata kama hatujawaona ofisini kwa miezi na miezi!

Mkumbuke sisi ndio waajiri wenu. Kama mko likizo, au mnaumwa au mko ziarani ndani na nje ya nchi, tunapaswa kujua. Vinginevyo itakuwa ni dharau ya mfanyakazi (kiongozi/viongozi) kwa mwajiri wake (Umma).
Povu ruksa.
Mwabukusi ni Mtabe sana kwa kweli
 
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa mazingira wametua jioni hii Zanzibar, hivi mkutano wa COP28 ndio umemalizika hivyo au umesitishwa ? :cool:
 
Taarifa nilizo nazo ni kwamba jamaa maini yake yanaoza. Kila wataalamu wakijaribu kudhibiti maini yanaendelea kuoza tu.
Kama ni hivyo, bahati mbaya sana kwa taifa letu, bila kujali haya mauchafu mengi ya chama chake.. Huyo ni msomi mzuri, mchapa kazi mzuri kabisa.
 
Back
Top Bottom