Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Mda huu inasemekana JK anatembelea wizara ya fedh@ kuna tetesi kwamba watumishi woote wanalazimishwa waende wakajipange mstari ili kumlaki, inasemekana hata kama kulikuwa na ishu nyeti inaendelea ofisini kwako lazima uende ukajipange msitari. "nilikuwa ninashida hapo hazina lakini wanadai eti shughuli zote zimesimama wafanyakazi wote lazime wakae nje kumlaki Rais" mwisho wa kumnukuu muathirika wa huduma Hazina. Nimepita maeneo hayo mda si mrefu kweli hakuna hata gari moja la mtu binafsi maeneo yamesafishwa vizuri na watu wapo smart kumsubili kumpokea Jk. Kumbe rais anapotembelea sehemu kuna ghalama zake?.