Bwashe hii jina Kihoza haijawahi kusikika uchagani anzia Rau Madukani kwa mama Pendo hadi kijijini Nshaara. Hiyo siyo jina la kihutu kweli? Ogopa bottom power, unaweza kubadilishawa hata uraia achilia mbali ukoo🤣🤣Hao watafikishana pabaya sana!
Bwashe hii jina Kihoza haijawahi kusikika uchagani anzia Rau Madukani kwa mama Pendo hadi kijijini Nshaara. Hiyo siyo jina la kihutu kweli? Ogopa bottom power, unaweza kubadilishawa hata uraia achilia mbali ukoo🤣🤣Hao watafikishana pabaya sana!
Jackie Mengi sio mchaga Ni Muha mwenye asili ya kitusi anatokea kigoma sehemu inaitwa ManyovuKuna mdau alianzisha uzi humu akasema wale wadada wapo watano wote wapo kimkakati wamejilengesha na kuolewa na wenye pesa yaani,
JACQUELINE
FARAJA
NANSI
wengine wawili nimewasahau mmoja ishatimia bado hao wengine na ukichunguza ni kweli kwa kinachoendelea sasa hivi ila wachaga sio wakuoa wale.
Ila kuna yule mhindi wa maji ya Afya na Sayona Tunda kama sikosei alizinguana na mwanawe mpaka kumfuta katika watoto wake kwa tangazo magazetini. Kwamba mtoto alikuwa anataka kumuua baba yakeWale wanarithisha watoto kabla hawajafa. Baba yao gsm kafa jana ila urithi katoa zamani
Mo dewji baba yake yupo hai ila urithi ameshatoa ndio maana mo anatamba
Sisi weusi urithi ni mpaka ufe na tena seke seke lianze
Ila watakuwa wameshafuja sana mali kwa kipindi walichokuwa wakisimamia mali hizo kisheria.Kesi ya kutengua huyo mama iko mahakamani,hukumu ya mauaji ikitoka inamtupa mariam nje ya kusimamia..lini ulisikia mali ya inasimamiwa na ndgu wa mke
Wilaya ya Manyovu ni mpakani kabisa na Burundi, kijiji cha mwisho ni Mnanila - Manyovu ndio kwa makamu wa Rais, Mhe. Mpango, jimbo la uchaguzi linaitwa BuhigweJackie Mengi sio mchaga Ni Muha mwenye asili ya kitusi anatokea kigoma sehemu inaitwa Manyovu
Huyo wa kiume amenunua nyumba jirani yangu,pia kajenga za wapangaji yeye ndio anamjaza huyo mtoto chuki ili mtoto awe upande wake achume mali,fununu mirathi ikitenguliwa watafanya mahesabu kujua zilizopigwaIla watakuwa wameshafuja sana mali kwa kipindi walichokuwa wakisimamia mali hizo kisheria.
NakubaliWilaya ya Manyovu ni mpakani kabisa na Burundi, kijiji cha mwisho ni Mnanila - Manyovu ndio kwa makamu wa Rais, Mhe. Mpango, jimbo la uchaguzi linaitwa Buhigwe
... dah; hivi hii inawezekana? Unaachaje kuwa mzazi wake labda?Ila kuna yule mhindi wa maji ya Afya na Sayona Tunda kama sikosei alizinguana na mwanawe mpaka kumfuta katika watoto wake kwa tangazo magazetini. Kwamba mtoto alikuwa anataka kumuua baba yake
Akili yake ni SAwa na mke wa Erasto msuyaNi sawa na wa wachaga wa zamani, warishirikisha watoto wakiwa wadogo Dr.Mengi na Mama Mercy walianza kutengeneza Kalamu na watoto wao nyumbani mikono imechafuka na wino sana leo mjinga mmoja aje awatoe aseme anataka kurithi vyote .Damu ingemwagika
Ilikuwa fun
Hivi wewe leo ukipewa wosia uusaini wakati upo kati kati ya tendo la ndoa na unakaribia kumwaga bao zito sana, na unaambiwa saini vinginevyo unachomolewa kwenye K ili bao lako liishie katikati, utasaini au hausaini?!!! Lazima utasaini tu ili upate ile raha ya mida mfupi, ila je, wosia huo utakuwa halali kisa tu umesaini mwenyewe tene kwa hiari bila kushikiwa bunduki?!! Sasa alichofanya huyu mdangaji kwa mwengi kinatofauti gani na hii scenario niliyoieleza?! Ukizingatia mtu alikuwa amepatwa na kiharusi, ni mgonjwa na hafikirii vizuri?! Sasa huo wosia usitenguliwe kwa nini?! Tutumie akili zetu vizuri jamani, sio kubishana na kujaza server tu...Hilo jambo unalosema liliweza na linaweza kutekelezeka kupitia WOSIA, sasa shida ni kuwa Sheria inaruhusu kutikisa (challenge) uhalali wa huo wosia na kupitia hapo ndio meza zinapopinduliwa.
Ama watu wanaghushi wosia ( wanatengeneza wa kwao na kuusema ni wa marehemu) ama wosia halali uliotolewa na marehemu unapigwa na sababu za kisheria na kuonekana ni batili.
kwenye hili sakata bado namlaumu mzee mengi kwa kushindwa kuzisimamia vizuri hizi familia zake 2 za bi mkubwa na bi-mdogo, yaani mzee kaziachia matatizo hizi familia ambayo yalikuwa yana epukika kabisaa…...
Ana tamaa ya kiwango kikubwa yule dadaKlyn anajua nani anamiliki nini na nini case ni Kua Kyln anajitoa akili
Na alikufa na mtoto akaendelea kuwa ceoIla kuna yule mhindi wa maji ya Afya na Sayona Tunda kama sikosei alizinguana na mwanawe mpaka kumfuta katika watoto wake kwa tangazo magazetini. Kwamba mtoto alikuwa anataka kumuua baba yake
Kuna Channel moja inatwa ID (Investigation Discovery), asilimia kubwa ya mauaji wanayotengenezea Documentary yanahusu kitu kinaitwa ‘Life insurance’ au ‘Bima ya maisha’, ambapo mtu anajikatia bima kwa endapo akifa basi mke / mume wake alipwe pesa kiasi kadhaa kulingana na ukubwa wa bima. Sasa unakuta yule mnufaika akigundua tu, anakutengenezew tukio ili ufariki alipwe bima, japo wengi hukamatwa ila wengine hafanikiwa. Ni hatari sana haya mambo ya mirathiKuweka wosia wazi ni hatari mno...
Jaribu uwaishwe mbele za haki
Yule Mzee alichoharibu kama kweli ni yeye mwenyewe ndiye kaandika ule wosia ni kuwabagua wale watoto wake wakubwa kwamba wasipate chochote kwenye urithi wake, yeye kama alitaka kuwanyima angeweza kusema tu warithi nguo au kitu kingine chochote kisichokuwa na thamani kubwa basi.
Lakini kuwanyima kabisa ndipo alipokosea.
Naomba nitag kwenye huo uzi niufanyie referenceKuna mdau alianzisha uzi humu akasema wale wadada wapo watano wote wapo kimkakati wamejilengesha na kuolewa na wenye pesa yaani,
JACQUELINE
FARAJA
NANSI
wengine wawili nimewasahau mmoja ishatimia bado hao wengine na ukichunguza ni kweli kwa kinachoendelea sasa hivi ila wachaga sio wakuoa wale.
Hata katika hao wote uliowaoredhesha hakuna mchaga hata mmojaKuna mdau alianzisha uzi humu akasema wale wadada wapo watano wote wapo kimkakati wamejilengesha na kuolewa na wenye pesa yaani,
JACQUELINE
FARAJA
NANSI
wengine wawili nimewasahau mmoja ishatimia bado hao wengine na ukichunguza ni kweli kwa kinachoendelea sasa hivi ila wachaga sio wakuoa wale.