FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,044
- 40,701
Hahahah, halafu hicho kitabu hajaandika Mengi, yeye Mengi amefanya ‘uhariri’ tu na kuruhusu kichapishwe, basi. Kuna watu wanalipwa kwa kazi ya kuandika vitabu, wao wana hariri tu na kukipitisha...Kitabu alikiandika ndani ya mwaka mmoja ?