Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Mvuta Bangi aliamua kujaribu kufunga "Saum" Mwenzi wa Ramadhan.
Ilipofika saa 1.30pm,,, Mambo yakamchafukia akawa anahema kama bata..
Akachukua simu akapiga Radio-FM,, Ilikua ni kipindi cha kuchagua wimbo
Mtangazaji akamwambia: Unaitwa nani? Unapenda kupeleka salamu kwa nani? Na Chagua WIMBO uupendao!!
Mvuta Bangi: Eee bwana eehh,, Mie sitaki yoote hayo Kwa hisani zenu ,,,
NAOMBA MNIWEKEE ;
..." ADHANA YA MAGHRIBI" .
Karibu mwezi mtukufu wa Ramadhani ,nawatakia kila lakheri Waislamu wenzangu wote popote pale mlipo ,Inshaallah tuukamilishe mwezi huu kwa kufanya ibada na kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa rahema na mwingi wa kusamehe.
Ilipofika saa 1.30pm,,, Mambo yakamchafukia akawa anahema kama bata..
Akachukua simu akapiga Radio-FM,, Ilikua ni kipindi cha kuchagua wimbo
Mtangazaji akamwambia: Unaitwa nani? Unapenda kupeleka salamu kwa nani? Na Chagua WIMBO uupendao!!
Mvuta Bangi: Eee bwana eehh,, Mie sitaki yoote hayo Kwa hisani zenu ,,,
NAOMBA MNIWEKEE ;
..." ADHANA YA MAGHRIBI" .
Karibu mwezi mtukufu wa Ramadhani ,nawatakia kila lakheri Waislamu wenzangu wote popote pale mlipo ,Inshaallah tuukamilishe mwezi huu kwa kufanya ibada na kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mwingi wa rahema na mwingi wa kusamehe.