Mvua Kubwa ya Upepo Mkali Balaa Dar!.

huwa sielewi...connection ya mvua na foleni dar!

mkuu kuna njia za vichochoro huwa tunapita kuepuka foleni, sasa pale mvua inaponyesha mtu unalazimika kupita barabarani ili kuepuka kukwama vichochoroni, hence foleni inaongezeka..

Kwa mfano, watu wa kimara na mbezi kuepuka foleni ya ubungo kuna shortcut ambayo unatokezea UD, sasa mvua ikinyesha na ukapima uwezo wa gari yako unaamua kubaki main road..
 
mkuu kuna njia za vichochoro huwa tunapita kuepuka foleni, sasa pale mvua inaponyesha mtu unalazimika kupita barabarani ili kuepuka kukwama vichochoroni, hence foleni inaongezeka..

Kwa mfano, watu wa kimara na mbezi kuepuka foleni ya ubungo kuna shortcut ambayo unatokezea UD, sasa mvua ikinyesha na ukapima uwezo wa gari yako unaamua kubaki main road..

point!..
 
vip kuhusu barabara zetu!?
.
Mvua zikinyesha wenye magari yao wanakwepa barabara za mtaan zinazotumika kwa short cut, hivyo magari yanakua mengi sana main road.
Pia magari vimeo huwa yanazimika sana ktkt ya barabara nyakati za mvua na kusababisha foleni!
 
hakijafika kwenu....ha!....wenzio tumekuwa wa njano....kilikuja juzi huku kwetu.....ukiniona niko yellowyellow.....


Nipo Arusha Arusha itabidi nifanye himahima nikuonye ulivyo yellow yellow kabla sijarejea Mbeya. Pole sana.
 
Nipo Arusha Arusha itabidi nifanye himahima nikuonye ulivyo yellow yellow kabla sijarejea Mbeya. Pole sana.

kumbe upo Chuga....karibu sana....unapatikana wapi nije kukusabahi.....?
 
Mzee bujibuji, umenacha njia pata , katikati ya mechi ipi?

Usije kuwa unapata burudani ya mechi ukasahau kuangalia mafuriko

Kwani kule Bondeni ulisha hama??????????
 
Nipo Kigamboni hali ya hewa ipo Shwaaar kabisa tangu saa 4 asubuhi
 
Back
Top Bottom