Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
Wajameni
Eneo ninaloishi mimi hapa Dar, kuna mvua kubwa balaa iliyoambatana na upepo mkali wa hatari inayonyesha sasa, siwezi kutoka kwenda kazini na watoto nimewazuia wasiende shule!.
Vipi upande wa eneo lako mvua hii imefika au ni kwa baadhi ya maeneo tuu?!.
Eneo ninaloishi mimi hapa Dar, kuna mvua kubwa balaa iliyoambatana na upepo mkali wa hatari inayonyesha sasa, siwezi kutoka kwenda kazini na watoto nimewazuia wasiende shule!.
Vipi upande wa eneo lako mvua hii imefika au ni kwa baadhi ya maeneo tuu?!.