Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Habari za Uhakika toka Mwanza zinasema Mv.Butiama ikiwa abiria kutoka Mwanza kwenda Ukerewe imezimika katikati ya Ziwa Victoria na yapata masaa 4 sasa hakuna msaada . Naambiwa watu wameanza kusali na kukata tamaa maana kuna hofu sasa kwamba Meli yaweza kuzama . Tafadhali mwenye habari zaidi azidi kutu habarisha hapa.