Sara
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 1,060
- 933
Usihukum luka 6:37Huu ndiyo utetezi wako? Kweli Mungu ameishiwa Watu!
Usihukum luka 6:37Huu ndiyo utetezi wako? Kweli Mungu ameishiwa Watu!
yaani kupotea tulipotea tangu tulipopokea biblia, tungebaki na miungu ya babu zetu. maana hawa wakoloni wanabadiri mambo kila siku, na sisi tunaenda nao.Pia kinachoharibu zaidi watu wakikosolewa wanakimbilia kusema "Usihukumu kabla hujahukumiwa" hii sentensi pia inatupoteza sana !
Tukubali kukosolewa !
we are the product of our thoughts. our external appearance reflects our internal appearance. ulivyo wewe ni matokeo ya mawazo yako. mwenekano wako wa ndani una shalabu mwonekano wako wa nje. hivyo matendo yako yatutupatia picha halisi ya mawazo yako.
wapi nimehukumna Hakuna dhambi ndogo mbele za bwana, usihukumu maana nawe utahukumiwa asema bwana wa majeshi. Luka 6:36-38
hizi dini zote mbili si zetu, yaani tunavyolumbana hahahaShetani kazini! We lini ulienda misikitini na kuona mtu kavaa mlegezo ndani au ki skin tight?
na walioamka mapema walishatajirika kitambooo sana hahahInjili Imekuwa biashara Kama ilivyo karanga
Unnaiamini biblia? Basi imekataza kabisa kuvaa nguo za jinsia tofauti!! Msahafu vivyo hivyo!Wapi kwenye Biblia walisema wanaume wasivae milegezo Au skirt?
Sema tuanaishi kwa kukaririshwa tokea tumezaliwa na tumezoea makaririsho na siyo imani hapo zaman kabla Ya ukoloni wazee wetu walikuwa wanavaa nusu utupu na kwenda kuabudu na kufanya matambiko
Baada Ya wakoloni kuja na dini zao wakaweka na sheria zao Pia na tumeamua kuzifuata cha ajabu hao wazungu wenyewe wanawake wanaenda kanisani wamevaa suruali za jeans na skirt fupi na wanafanya ibada Kama kawaida.
Ila kwa Sisi ambao hatujuwi ata machimbuko Ya hzo dini ndio tumekaa kushupalia mambo yasiyo na msingi.
mapokeo ni mabaya sana.Nadhani nilipaswa kutoa precaution kwamba wanaopaswa kuchangia ni wale wanaojua umuhimu wa kuvaa vizuri katika ibada. Lakini nimekusamehe bure
KhaaaMungu haangalii mavazi, hata wakivaa bikini as long as kwenye wimbo wanamsifu Mungu, si shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Muuza mchele ndio yupi?Kauli ya Mungu anaangalia roho sio mavazi inawapoteza kwa kasi hawa wanaoijiita walokole ....wakiongozwa na yule muuza mchele ..
Wakujiita mchungaji wakisasa
Ahaa yule street pastor [emoji23][emoji23][emoji23] anavaa mpaka suruali zilizochanwa mapajani. Mtu ukishaamua kuwa mtumishi inabidi ukubali baadhi ya vitu vikupite sio kila kitu no cha kwakoWakujiita mchungaji wakisasa
Nani alikudanganya... Mavazi pia ni ibada ndugu
Huyohuyo 😀😀na anajua kuchamba huyo ole umwambie mavazi yako sio mazuri..Ahaa yule street pastor [emoji23][emoji23][emoji23] anavaa mpaka suruali zilizochanwa mapajani. Mtu ukishaamua kuwa mtumishi inabidi ukubali baadhi ya vitu vikupite sio kila kitu no cha kwako
Sent using Jamii Forums mobile app