Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,470
Shalom wana wa Mungu
Jumapili ya leo nimeamua niitumie kuyatoa ya moyoni juu ya muziki wa injili hapa Tanzania.
Ki ukweli hawa waimbaji wa siku hizi wa injili wamakera sana na nachelea kusema ninapata mashaka na Mungu wanayemwabudu.
Dressing code yao ni hovyo sana, yani wanavaa kisharobaro, yaani ni mavazi ambayo hayaleti utukufu kwa Mungu, sijui kama kuna watu wanawashauri katika hili. Nawazungumzia hawahawa wakina Gooddluck Gozbert, Akina Paul Clement na hao wengine mnaowakubali wa type hiyo. Yani ukifungua TV alaf uka mute sauti unaweza ukamaliza wimbo bila kujua kama ni Bongo fleva au ni injili.
Ee Mungu tusamehe turudishie waimbaji wetu wenye adabu na staha kwenye ramani. Akina Ambwene Mwasongwe, Mchungaji Abihudi, Christina Shusho na wengine wa type hyo...
Hawa wa sasa wanaondoa kabisa utukufu wako
Jumapili ya leo nimeamua niitumie kuyatoa ya moyoni juu ya muziki wa injili hapa Tanzania.
Ki ukweli hawa waimbaji wa siku hizi wa injili wamakera sana na nachelea kusema ninapata mashaka na Mungu wanayemwabudu.
Dressing code yao ni hovyo sana, yani wanavaa kisharobaro, yaani ni mavazi ambayo hayaleti utukufu kwa Mungu, sijui kama kuna watu wanawashauri katika hili. Nawazungumzia hawahawa wakina Gooddluck Gozbert, Akina Paul Clement na hao wengine mnaowakubali wa type hiyo. Yani ukifungua TV alaf uka mute sauti unaweza ukamaliza wimbo bila kujua kama ni Bongo fleva au ni injili.
Ee Mungu tusamehe turudishie waimbaji wetu wenye adabu na staha kwenye ramani. Akina Ambwene Mwasongwe, Mchungaji Abihudi, Christina Shusho na wengine wa type hyo...
Hawa wa sasa wanaondoa kabisa utukufu wako