tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Mkuu utakua unaongelea moshi bar ya huko kwa bashite,moshi inashida ya maji sana japo mito ni mingi ila muwasa hawana jipya wapo tu kusubiri mishahara,ukienda pasua,rau,majengo,soweto maji ya shida yanatoka mara moja au mbili kwa wiki.Katika hali isiyo ya kawaida lakini sio kawaida zaidi kwa nchi ya Kiafrika kufanya hivyo, mamlaka ya maji safi na maji taka mji wa Moshi (MUWAS) imeamua kuzima mtambo wake mmoja baada ya kuzalisha maji ya ziada kwa asilimia 270%.
Hali hiyo ilizishitua mamlaka nyingi za maji duniani ambapo mamlaka zinazohusika na maji Cape Town na California ,ambazo kwa kiasi kikubwa zimekumbwa na uhaba wa maji walifunga safari hadi Moshi kuja kujifunza ni hasa watu hawa wamewezaje.
Bila hiana MUWSA iliwapa elimu muhimu ya kuweza zalisha maji ya ziada katika maeneo yao ambapo walisema siri kubwa ni utanzaji wa vyanzo vya maji pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanya na serikali katika mitambo na miundombinu mingine.
Mamlaka nyingine mbili nazo kuzima mitambo kabla ya mwisho wa mwaka huu.
Angejaribu kuzima taa zote kama usiku na mchana afunge madirisha na aweke blinds angeona vizuri tu ule uboraMkuu labda haukuangslia vizuri ,TBC muonekano wake umebadilika
halafu maji ya moshi matamu sana
Ukikamatwa na chainsaw kule utajuta.Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha wana vyanzo vingi vya maji vya asili na watu wa kule hata kama mti ni wako unaomba kibali kuukata
So cape town na California serikali zao zitakua hazijaweka hela kwenye sekta ya maji.....Katika hali isiyo ya kawaida lakini sio kawaida zaidi kwa nchi ya Kiafrika kufanya hivyo, mamlaka ya maji safi na maji taka mji wa Moshi (MUWAS) imeamua kuzima mtambo wake mmoja baada ya kuzalisha maji ya ziada kwa asilimia 270%.
Hali hiyo ilizishitua mamlaka nyingi za maji duniani ambapo mamlaka zinazohusika na maji Cape Town na California ,ambazo kwa kiasi kikubwa zimekumbwa na uhaba wa maji walifunga safari hadi Moshi kuja kujifunza ni hasa watu hawa wamewezaje.
Bila hiana MUWSA iliwapa elimu muhimu ya kuweza zalisha maji ya ziada katika maeneo yao ambapo walisema siri kubwa ni utanzaji wa vyanzo vya maji pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanya na serikali katika mitambo na miundombinu mingine.
Mamlaka nyingine mbili nazo kuzima mitambo kabla ya mwisho wa mwaka huu.
Nimepitia makala za California water group wameandika hakuna shortage na wanaweka mfumo mpya wakuhifadhi maji unaendelea kujengwa hapo Hawaii........ Labda wewe unaongelea California love ile kama jangwa kwenye wimbo wa 2pacAmini usiamini, California tatizo ni kubwa kiasi kwamba wanatumia hiyo teknolojia kubwa waliyo nayo kupangia kila nyumba iliyoko kwenye eneo lenye uhaba kiasi cha maji kinachoingia. Sasa humo ndani ndio mnapanga mtumie eje hicho kiasi cha maji, kuoga ni shower sio kujaza tub n.k.
Ukweli mtupu!Uchaggani kuna mengi ya kujifunza bila shaka!
Kilmanjaro ndio lango la baraka za hili taifa na kupitia huu mkoa hili taifa litaneemeka na kubarikiwa "Viva Kilmanjaro "Mambo mengi sana yalikuwa poa kabla hata ya uhuru! Nakumbuka mimi wakati nakuwa ulikuwa una uwezo wa kupiga simu ya dharura na polisi wanafika fasta(kama sikosei, namba mojawapo ilikuwa ni 999). Fire brigade ilikuwa very reliable!
Darasani tulifundishwa umuhimu wa kuchemsha maji ya kunywa, lakini uchaggani kule sikumbuki kuchemsha maji ya kunywa. Maji ya bomba safi kabisa!
Hapo ndipo utaona tofauti ya Mzungu na Mwafrika mzungu hata kama anajua anakuzidi ila yupo tayari kujifunza kutoka kwako akiona una jambo ambalo anahisi anaweza jifunza Mwafrika hawezi na ndiyo maana unawashangaa....japo nimeshangaa S.A nao waafrika wenzetu kuwa na akili ya mzungumi nashangaa hao wanaotoka capetown na california wanakuja kujifunza nini hasa,wao hawajui kutanza maji au miundo mbinu mizuri ya maji inazalishwa tz? mi nnachokiona tafauti ni kuwa inawezekana eneo la moshi kuna maji mengi na watumizi wa maji ni kidogo kulinganisha na maeneo mangeni,hilo labda ndio la ajabu
Sehemu nyingi maji ya shida,soweto,majengo,rau,pasua ni majanga matupu
Soweto ipi hiyo ulipo mana mimi naongelea ile ya chini nyuma ya airportNipo soweto sijawahi sikia maji yanakatika ata siku moja
Jamaa angu acha uongo wewe sehem zote hizo nimekaa na ninaishi moja ya sehem.tajwa hakuna siku maji yamekatika hata nusu saa na.yakikatika lazima taarifa itolewe sasa wewe sijui.unazungumzia.mwaka ganiMkuu utakua unaongelea moshi bar ya huko kwa bashite,moshi inashida ya maji sana japo mito ni mingi ila muwasa hawana jipya wapo tu kusubiri mishahara,ukienda pasua,rau,majengo,soweto maji ya shida yanatoka mara moja au mbili kwa wiki.
Muwasa hawana plan wangekua na plan maji yangefika mpka majengo
Uyu jamaa sijui ametokea same hakuna sehem maji yashida moshi labda kb ndo huwa nasikia sikia yanasumbuaNipo soweto sijawahi sikia maji yanakatika ata siku moja
Sehemu nyingi maji ya shida,soweto,majengo,rau,pasua ni majanga matupu
Amen 🙏🏾Ukweli mtupu!
Kilmanjaro ndio lango la baraka za hili taifa na kupitia huu mkoa hili taifa litaneemeka na kubarikiwa "Viva Kilmanjaro "
Mwandishi nae kakupongeza. Hii inaonesha aina ya uandishi anayotumia. Anayoyasema si anayokusudia. Read between the lines and you will understand the message.Wewe Habari Zako Zina chunvi nyingi.. Jana tu umetuaminisha tbc wamefunga mitambo bora Africa nzima hakuna.. Lakini tbc bado mbovu vilvile