MUWASA wafanya maajabu, wazungu watua Moshi kuja kushangaa

Mkuu utakua unaongelea moshi bar ya huko kwa bashite,moshi inashida ya maji sana japo mito ni mingi ila muwasa hawana jipya wapo tu kusubiri mishahara,ukienda pasua,rau,majengo,soweto maji ya shida yanatoka mara moja au mbili kwa wiki.
Muwasa hawana plan wangekua na plan maji yangefika mpka majengo
 
Moshi kuna mengi sana ya kujifunza
1) ufugaji ( intensive husbandry )ngombe watatu tu wamaziwa mtu anajenga na kusomesha watoto private school
2) usafi wa mazingira
3)maji kwa jamii
4)demokrasia
5) utunzaji wa mazingira
6) matumizi ya muda
7)kujituma hasa kiuchumi
NB tuache tuki na hawa watu !!! Njooni mjifunze kuna mengi
 
So cape town na California serikali zao zitakua hazijaweka hela kwenye sekta ya maji.....
 
Nimepitia makala za California water group wameandika hakuna shortage na wanaweka mfumo mpya wakuhifadhi maji unaendelea kujengwa hapo Hawaii........ Labda wewe unaongelea California love ile kama jangwa kwenye wimbo wa 2pac
 
Uchaggani kuna mengi ya kujifunza bila shaka!
Ukweli mtupu!
Kilmanjaro ndio lango la baraka za hili taifa na kupitia huu mkoa hili taifa litaneemeka na kubarikiwa "Viva Kilmanjaro "
 
Hapo ndipo utaona tofauti ya Mzungu na Mwafrika mzungu hata kama anajua anakuzidi ila yupo tayari kujifunza kutoka kwako akiona una jambo ambalo anahisi anaweza jifunza Mwafrika hawezi na ndiyo maana unawashangaa....japo nimeshangaa S.A nao waafrika wenzetu kuwa na akili ya mzungu
 
Moshi_Kilimanjaro! Wamejitahidi kwa mambo mengi hasa maji elimu na afya!
 
Jamaa angu acha uongo wewe sehem zote hizo nimekaa na ninaishi moja ya sehem.tajwa hakuna siku maji yamekatika hata nusu saa na.yakikatika lazima taarifa itolewe sasa wewe sijui.unazungumzia.mwaka gani
 
Uongo unakusaidia nini? Soweto ipi unayoizungumzia hapa! Na Padua ipi? Hiyo matindigani na kalimani ni uswahilini full vichochoro lakini Maji ni 24/7 sembuse Soweto na Pasua kwa J, rahibu?
Sehemu nyingi maji ya shida,soweto,majengo,rau,pasua ni majanga matupu
 
Wewe Habari Zako Zina chunvi nyingi.. Jana tu umetuaminisha tbc wamefunga mitambo bora Africa nzima hakuna.. Lakini tbc bado mbovu vilvile
Mwandishi nae kakupongeza. Hii inaonesha aina ya uandishi anayotumia. Anayoyasema si anayokusudia. Read between the lines and you will understand the message.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…