FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,211
ile notes za kukaririshwa nisome nini pale angeniambia nyuma ya ukuta kuna nini sawa ila habari zile tumeshazoea na ndio ambayo hatutaki na wewe ni mojawapo kati ya waliokaririshwa mpaka unaona kitu kipya ni nilichokuonyesha kichwani mwako hautaki kukifikria hata kidogo nakuomba kaa chini kidogo uiangalie kwa umakini utagungua vitu vipya kabisa.
Nakuuliza kitu kimoja, naomba nijibu kwa ufasaha na usipingane na maandiko yenu:
Gospel (injili) ya Marko kaandika nani?