Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Uvunjwe Kwasababu Hauna Faida Tanganyika

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,130
1,940
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
Sirejelei!!! Kamwe!
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
Hakuna mahusiano magumu kama haya ya..
CHANGU NI CHANGU NA CHAKO NI CHANGU🙄
 
IMG-20230531-WA0013.jpg
Permanent Representative of Zanzibar to the United Nations, Ambassador Hilal M. Hilal.
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.


Wapo teyari uvunjwe. Sikiliza kiongozi Zanzibar leo ameongea.
Dakika ya 9.15 hadi 12
 
Waoga pekee ndio wanaotaka muungano uvunjwe bila ya kudai marekebisho ya vipengele vya huo mkataba
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
Muungano uvunjwe
 
Rejelea kichwa cha habari. Kuna haja ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvujwa kwasababu hauna faida yeyote Tanganyika. Tangu muungano huu Zanzibar ndiyo imekuwa ikinufaika kutoka Tanganyika lakini Tanganyika haijawahi kunufaika kutoka Zanzibar.

Zanzibar wamekuwa wakichota mchanga na mawe kutoka Tanganyika kwasababu ya tatizo la udongo wao, siyo hivyo tu Zanzibar inamiliki eneo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977 katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Wakazi wa Tanganyika wanapokwenda Zanzibar hawapokelewi mpaka pale wanapokuwa na vitambulisho mbaya zaidi Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar huku Wazanzibari wakimiliki ardhi Tanganyika. Katika nyanja za siasa Watanganyika hawapewi fursa ya kuwa viongozi Zanzibar huku Wazanzibari wakipewa nafasi nyingi kwenye serikali ya Tanganyika.
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu.

1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara wanachukiwa wakienda kule, wanaitwa chogo, na katiba yao inazuia watu wa bara kumiliki ardhi. Juzi nilikuwa Dodoma, kwenda benjamin Mkapa kwenye kona ya Udom, kuna migorofa fulani hivi imejengwa, wanasema karibu na vile vijengo vya majaji, wengine wanamtaja mzanzibari fulani anamiliki hiyo migorofa. tukisema wazanzibar leo hii muungano umevunjika waondoke, wengi wataanza kuuza nyumba nyingi na ardhi kubwa wanayoimiliki. KWANINI BARA HATURUHUSIWI KUMILIKI KULE? faida yao ni nini?

2. kwenye ajira, hii ni kero, wazanzibar maelfu na maelfu wameajiriwa bara, hata kwenye mambo yasiyo ya muungano, wameajiriwa bara ambayo kiukweli ipo bara kwasababu zanzibar kuna utawala wao, lakini wabara hawaruhusiwi kabisa kuajiriwa zanzibaar, hii ni kero, inatakiwa iondolewe, ama la kila mtu abaki kwake.

3. wazanzibar wanakuwa wabunge kule kwao, na huku. akiwa mbunge kule kwao, atakula masurufu ya kule na atakuja kula masurufu ya bara kwa kodi za watu wa bara. tuambieni, yale mipesa wanaku wabunge 50 wa zanzibar wanakiula, zanzibar huwa imechangia bei gani? ni pesa za walipa kodi wa bara. na hao hao wakifika huku wakishiba, wanasenma twende kule kwa passport, kwa msiojua, kile ameongea yule mbunge wa zanzibar kwamba wabara twende kwa passport kwao ndicho kilichopo kwenye mioyo ya wazanzibari wote hata wenye mamlaka huku na hata walioajiriwa huku na hata wanaomiliki ardhi huku, amesema kilichopo kwenye mioyo ya wengi. wala hatakiwi kulaumiwa. kwa waliofika zanzibar wanajua kuwa hicho ndio huwa matamanio yao.

4. mzanzibar anaweza kuwa Mkuu wa wilaya, mkoa, na waziri bara, ila sisi kule marufuku. kwanini?

nimeongea hayo kwa uchache tu, lakini ukweli mwingi hata wanaopinga wanaujua, kama tunataka muungano uwepo, ondoeni kero hizi kwa watu wa bara, ama la, kila mtu achukue hamsini zake kwasababu hakuna kitu wabara wanafaidika nacho as of now. na hawajawahi kufaidika. watu wasioelewa watasema huu ni uchochezi, ila jibuni kwa hoja kama mnazo.
 
Back
Top Bottom