Umesahau kitu kimoja kikubwa sana, "wapemba watapungua kigamboni na dsm, na mikoani, watakuwa either wahamiaji haramu wanaotakiwa kufurushwa au watapata shida sana ya uraia kwasababu zenji wataipenda na bara wataipenda kutokana na kwamba wamewekeza, wamenunua ardhi etc. jambo hili nakuhakikishia litakuwa na hasara kubwa zaidi kwa wazanzibari kuliko wabara, kwasababu ukichukua asilimia kubwa ya watu wa bara, waulize kama wanaipenda zenji, utakuja kugundua wengi wao hata haipo vichwani mwao na hawaoni kama kutakuwa na madhara. ukienda mkoa wowote tz kuna wazenji wamenunua ardhi wanaishi kama watz, ila ukienda zenji wabara wenye ardhi ni wa kuuliza, na wengi wanaenda either kufanya kazi na kuondoka tu. siku mkivunja muungano (jambo ambalo mimi sitalichukia), mtakuja kujikuta mmepoteza kitu kikibwa sana ambacho mlikuwa hamjui na hamtakuja kukipata tena. huwezi kuujua umuhimu wa Tanganyika hadi pale utakapoipoteza.
Ngoja nikisome halafu nije na maswali zaidi baada ya iftaar inshaalah
Ina maana hata Wanachadema ni anti muungano au nyinyi kazi yenu ni kudandia hoja tuu for the sake of Upinzani?!!Zanzibar zaidi kisiwa cha Pemba, wakituhakikishia hawawezi kuwa base ya extremist kama Alshaabab,ISIS,Alqaida nawaunga mkono 100% wajigawe tu.Waachane na haya makucha ya mkoloni mweusi fisiem!
Zanzibar zaidi kisiwa cha Pemba, wakituhakikishia hawawezi kuwa base ya extremist kama Alshaabab,ISIS,Alqaida nawaunga mkono 100% wajigawe tu.Waachane na haya makucha ya mkoloni mweusi fisiem!
Mimi kwa baba kassim ni kafir innsui Wa kweli kweli [emoji4] [emoji57]
Nilikushauri mapema gvn kwamba kama muungano hamuutaki wawekeeni tuta wabunge, mawaziri... yaani waserekali woote waki-zenj wasivuke bahati kuja Tg, kutakuwa hakuna muungano tena [emoji4] lakini Hivi ninavyo andika! wapemba wako kyera wanakusanya mpunga, robo tatu ya magenge ya vitunguu na nyanya dar Mali ya wapemba, ukienda machinjioni kuanzia saa tisa usiku wapemba wamejazana kuchukua vichwa vya ng'ombe, utumbo, hashua, hadi mimba za ng'ombe kupika supu, nenda fery wamejazana hatari, wako kilombero wanakusanya ruby, hadi wako chanika wana mabanda ya kufuga mdudu Yaani vibua [emoji38] [emoji38] halafu mnachonga humu muungano ufe [emoji15] tafadhalini unapo kula usimshike pofu mkono?! wa-Tg tunawaona nyodo zenu [emoji57] wahenga walisema unapo bebwa usinyooshe miguu ilaha ikunje ubwebwe vizuri...
Inshaalah [emoji4]UUndugu wetu na Wazanzibari tuudumishe na Allah atufanyie wepesi tuziondoe kero zoote ili tu ufaidi muungano wetu.
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Haaminiki yule , anaweza kuja na ids nyingi na yaelekea yumo kwa jina jengine , ningalikuambia lakini sitaki kupoteza wakati kumcheck ip adress yake
Haqi kwani huijui gvn?Mbona unapenda kuwafikiria watu ubaya tu ?? mbona wasomali wako wengi wazuri tu , na hapo dar wako wengi tu zaidi ya hao uliyowaandika na hatujawaona kuzunguka na majambia ??
Zanzibar kisiwa tu mumekivamia sababu ni DINI hakuna chengine kama vitabu vya Kikatoliki vinavyosema. Hao watu wa kila nchi mpaka machina wamekuja na kuishi kwa amani , vurugu na chuki hizi zimekuja baada ya huu uvamizi , kwa kudai uhuru wao wanaambiwa mara magaidi, mara wanataka kujiunga somalia , mara Arabuni , imekuwa NOMA
Mimi kwa baba kassim ni kafir innsui Wa kweli kweli [emoji4] [emoji57]
Nilikushauri mapema gvn kwamba kama muungano hamuutaki wawekeeni tuta wabunge, mawaziri... yaani waserekali woote waki-zenj wasivuke bahati kuja Tg, kutakuwa hakuna muungano tena [emoji4] lakini Hivi ninavyo andika! wapemba wako kyera wanakusanya mpunga, robo tatu ya magenge ya vitunguu na nyanya dar Mali ya wapemba, ukienda machinjioni kuanzia saa tisa usiku wapemba wamejazana kuchukua vichwa vya ng'ombe, utumbo, hashua, hadi mimba za ng'ombe kupika supu, nenda fery wamejazana hatari, wako kilombero wanakusanya ruby, hadi wako chanika wana mabanda ya kufuga mdudu Yaani vibua [emoji38] [emoji38] halafu mnachonga humu muungano ufe [emoji15] tafadhalini unapo kula usimshike pofu mkono?! wa-Tg tunawaona nyodo zenu [emoji57] wahenga walisema unapo bebwa usinyooshe miguu ilaha ikunje ubwebwe vizuri...
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Halafu Avatar yake ameweka jina la Allah nadhani anajitafutia laana.
Kuna tetesi kuwa Visiwa vya Komoro navyo vinataka kujiunga na muungano wetu wa Tanzania.
eti namuweza mimi [emoji15] [emoji12] wewe Mungu huna Kitab huna wala mtume huna ni mzee Wa kilingeni kuosha mbuguma nuksi, kushona mahirizi, kaandika tarasimu na saa Habari...unafikiri sijui kilinge chako eeh [emoji4]Huyo namweza mimi maana ninaye miaka mingi
Hata Mimi [emoji120]Muungano wa mkataba ndio ukoje?!mimi binafsi nilkuwa niko upande wa Serikali tatu.
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Zanzibar ilikuwa ni nchi ya amani na ikiwaona nyinyi watanganyika kuwa ni watu wema . Ni nani alikuambia Zanzibar ilikuwa na jeshi ??
Aliyevamia siye wewe ni Laaanatullahi Nyerere na jeshi lake kwani baada ya kuivamia alimkamata Waziri Mkuu Wake aliyechaguliwa na wananchi pamoja na baraza la Mawaziri na kuwafunga katika magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani kwa zaidi ya miaka 10 , kabla huo uitwao muungano haujafikiriwa
nan kasema yatabaki ya zanzibar hivi tanganyika unaijua wewe ni fasta bomba la kutoa mafuta zanzibar to dar kinyerezi liwepoWenzenu wanazidi kuungana nyie mnafikiria kutengana!! Badala ya kufikiri ni vipi tunaweza kwenda hatua kubwa zaidi katika umoja wa EA tunafikiria kuadd member mwingine Zanzibar!
Hakuna kinachozuia Zanzibar kuendelea ambacho kinakwamishwa na muungano, achilia mbali fikra za jumuiya za misaada.
Nchi inajengwa kupitia rasilimali zake. Leo mafuta yakipatikana Zanzibar yatabaki kuwa ya Zanzibar na hakuna la kubadili hilo. Umoja wetu ndio nguvu yetu, msidanganywe!
point yangu ni kwamba, tukitengana mtakuwa tayari kurudi kwenu mtuachie ardhi yetu ya Tanganyia, jinsi mlivyojazana kigamboni, dsm na mikoa yote ya tz. muwe tiari kuhama pia, sio mnalianzisha halafu mnashindwa baadaye.Elewa Mombasa ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar kabla mwingereza hajawapa wakenya 1963 , Mbona hayo uliyoyaandika hayajatokea na bado kuna wazanzibar wengi tu wanaishi Kenya kama wakenya wanavyoishi Zanzibar ??
No.1 Mimi sina chama chochote toka nilipokuwa CCM kwa lazima kipindi cha chama kimoja.No.2 Mimi kwangu ni utaifa kwanza.Sipendi kuona uonevu kwa mtanzania yeyote.Ina maana hata Wanachadema ni anti muungano au nyinyi kazi yenu ni kudandia hoja tuu for the sake of Upinzani?!!
Butiama haijawahi kudai kujitenga !Kwani hiyo base haiwezi kuwepo Butiama ??
duuu [emoji15] [emoji4]πππππππππππππππππππππ