Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 37,287
- 86,699
Hamjambo wote!
Kama swali linavyoeleza hapo juu. Mwenye Majibu ya haki aje hapa na atoe majibu.
Pili, ni maeneo gani yaliyopo Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?
Maana GenZ wanasema hawaoni umuhimu wa Zanzibar. Ila wakiambiwa historia halisi wanaweza kuuona umuhimu wa Muungano.
Tatu, historia inaeleza Utawala wa ujerumani ulinunua rasmi eneo la zanzibar lililopo Tanganyika na rasmi maeneo ya pwani ya bahari ya hindi kuanzia Dsm, pangani, Tanga, lindi kuwa mali hali ya Tanganyika mpaka hivi leo.
Acha niache wakubwa waje waeleze kinagaubaga.
Karibuni
Kama swali linavyoeleza hapo juu. Mwenye Majibu ya haki aje hapa na atoe majibu.
Pili, ni maeneo gani yaliyopo Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?
Maana GenZ wanasema hawaoni umuhimu wa Zanzibar. Ila wakiambiwa historia halisi wanaweza kuuona umuhimu wa Muungano.
Tatu, historia inaeleza Utawala wa ujerumani ulinunua rasmi eneo la zanzibar lililopo Tanganyika na rasmi maeneo ya pwani ya bahari ya hindi kuanzia Dsm, pangani, Tanga, lindi kuwa mali hali ya Tanganyika mpaka hivi leo.
Acha niache wakubwa waje waeleze kinagaubaga.
Karibuni