Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,635
- 8,952
Umesahau kitu kimoja kikubwa sana, "wapemba watapungua kigamboni na dsm, na mikoani, watakuwa either wahamiaji haramu wanaotakiwa kufurushwa au watapata shida sana ya uraia kwasababu zenji wataipenda na bara wataipenda kutokana na kwamba wamewekeza, wamenunua ardhi etc. jambo hili nakuhakikishia litakuwa na hasara kubwa zaidi kwa wazanzibari kuliko wabara, kwasababu ukichukua asilimia kubwa ya watu wa bara, waulize kama wanaipenda zenji, utakuja kugundua wengi wao hata haipo vichwani mwao na hawaoni kama kutakuwa na madhara. ukienda mkoa wowote tz kuna wazenji wamenunua ardhi wanaishi kama watz, ila ukienda zenji wabara wenye ardhi ni wa kuuliza, na wengi wanaenda either kufanya kazi na kuondoka tu. siku mkivunja muungano (jambo ambalo mimi sitalichukia), mtakuja kujikuta mmepoteza kitu kikibwa sana ambacho mlikuwa hamjui na hamtakuja kukipata tena. huwezi kuujua umuhimu wa Tanganyika hadi pale utakapoipoteza.
Elewa Mombasa ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar kabla mwingereza hajawapa wakenya 1963 , Mbona hayo uliyoyaandika hayajatokea na bado kuna wazanzibar wengi tu wanaishi Kenya kama wakenya wanavyoishi Zanzibar ??

tafadhalini unapo kula usimshike pofu mkono?! wa-Tg tunawaona nyodo zenu
wewe Mungu huna Kitab huna wala mtume huna ni mzee Wa kilingeni kuosha mbuguma nuksi, kushona mahirizi, kaandika tarasimu na saa Habari...unafikiri sijui kilinge chako eeh 