TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Unatakaje mkuu?kumbuka hata mkitaka kujitenga ruksa,huu siyo muda wa kubembelezana!Najua Viongozi wetu wanapenda huu muundo kwa sababu ya Madaraka. Lakini kwa mwananchi wa Kawaida wa Zanzibar huu muundo hauna tija kwetu. Tusubiri tuone.
Kasheshe @ Bububu,