Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
Sipingani na hoja ya maeneo ya visiwa kuwa na sheria ngumu za umiliki wa ardhi, ni kwamba najaribu kuangalia mazingira ya baina ya Zanzibar na tanganyika, sheria ngumu za umiliki wa ardhi zanzibar zipo tokea kitambo na offcourse Tanganyika zipo lakini ziko fairly loose kwa wazanzibari kwa muda mrefu, lakini sasa hivi kutakuwa na mkazo wa sheria husika ikilenga kundi fulani (sjui unanipata hapa?) ndo kile nilichobainisha hostility relationship; Offcourse hata sasa kuna watanganyika wengi tu wanaomiliki ardhi zanzibar na hivyohivyo kwa wazanzibari lakini kuna hali ya kutojali sana japo sheria hususan ya Zanzibar iko wazi na ni ukweli kuwa idadi ya watanganyika wanaomiliki ardhi zanzibar ni 'negligible'ukilinganisha na wazanzibari wanaomiliki Tanganyika. Na hii kwa sababu mahitaji ya ardhi tanganyika ni muhimu sana kuliko zanzibar kutokna na matumizi yake (Higher derived demand) pamoja na kuwa Tanganyika kuna eneo kubwa. Ndo nikasema kunatakiwa busara kali mno maana huu muungano ushakufa huu kwa sisi twenye akili zetuMkuu
Sio zanzibar tu ambayo inamasharti magumu ya ukaazi au ardhi ,ni nchi nyingi tu duniani hasa zile zenye eneo dogo kama visiwa, hivi tukihalalisha ardhi yetu kwa watanganyika kuna eneo litakalo baki ? wazanzibari milioni 1.5 wakati watanganyika karibia milioni 50, lazima zanzibar kuwe na masharti magumu ya ardhi, sio kwa wageni hata wazanzibari wenyewe, lazima waekewe masharti, sio kujenga jenga kiholela.