Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Tunajadili hoja sio ngoma ya Mganda au Mdumange.
Ha ha ha.Duh!
Tunajadili hoja sio ngoma ya Mganda au Mdumange.
Mkuu Kashorobana,
Mumeumizwa wapi wakati kama mnajua mnaumizwa mbona hakuna alodai kutoka hadi muda huu vipi halafu sisi hatukimbilii Oman si raisi juzi juzi katoka huko huko na yule membe sijui mamba ama ndo yalee baniani baya kiatu chake dawa eehh
Bendera na mawimbo ya taifa yanawasaidia wakagua magwaride... sisi Wanzibar wananchi twatake fedha mifukoni jama!
Bendera na mawimbo ya taifa yanawasaidia wakagua magwaride... sisi Wanzibar wananchi twatake fedha mifukoni jama!
Bendera na mawimbo ya taifa yanawasaidia wakagua magwaride... sisi Wanzibar wananchi twatake fedha mifukoni jama!
Tulisema humu mtandaoni usimwamshe aliyelala(Tanganyika).Najua Viongozi wetu wanapenda huu muundo kwa sababu ya Madaraka. Lakini kwa mwananchi wa Kawaida wa Zanzibar huu muundo hauna tija kwetu. Tusubiri tuone.
Kasheshe @ Bububu,
Mimi nsona chess inayochezwa ni kula kete muhimu kwanza.Hawa wanzanziari waliograb ardhi Huku bara itakuwaje? Watarudi pemba na unguja? Rasmu iseme hatima ya ardhi ya tanganyika
Suali sio serekali ngapi,ni mamlaka kamili.zanzibar kwanza.
"Zanzibar ikijitenga kwa tamaa au ulevi wa madaraka basi hamtokaa salama,dhambi ya ubaguzi itawatafuna milele hamtokaa salama kamwe,mtaanza hamtaki muungano mtakuja tena hatutaki pemba/unguja ziunganee then mtaendelea hamtokaa salama"--JK nyerere
Suali sio serekali ngapi,ni mamlaka kamili.zanzibar kwanza.
Maneno ya nyerere ni msahafu au biblia?
Najua Viongozi wetu wanapenda huu muundo kwa sababu ya Madaraka. Lakini kwa mwananchi wa Kawaida wa Zanzibar huu muundo hauna tija kwetu. Tusubiri tuone.
Kasheshe @ Bububu,
waende zao hatuna hajanao tupunguze na matumizi yasiyo ya lazima, kama galama za umeme, vyuo vikuu, matibabu nk.
Watuchie nafasi zetu kariakoo, namanga, buguruni kwa mnyamani, magomeni mapipa na kwingine kulipokaliwa na wapemba kibao.