mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
vyuo vikuu vipo bwana acha uongokoti likikubana livue... ha ha haaaaa, cheza na baridi, utalivaa tu. na bado hiyo ni rasmu tu. hamna vyuo vikuu (oooh sory nilisahau mnavyo vya kiislam a.k.a madrasa) je, unajua hii,,, vyanzo vya mapato ya serikali ni vipi!!!! najua utasema karafuu, haina soko duniani nowadayz, au utalii, (ni kijisehemu tu cha secta ya huduma tena hoteli ndo kidogo mnategemea) hiyo polisi mnayo taka kuanzisha mtawalipa nini? mtakula urojo mpka mkome....isue ya umeme no msamaha tena, mtalipa kama kawaida hakuna cha dezo, yale magenerator si mlishindwa kuyarun then mnalilia muungano uvunjike....na wapemba nao nasikia tetesi wanataka nchi yao, ha ha haaaaaaa....nawapa mwaka mmoja na maalim seif wenu mtakalia jiwe la moto, mwenzenu anaweza kuwakimbia akaenda huko oman we mwenzangu na mimi vipi?utakimbilia bumbwini......kulalama kwnu na kutoa mapovu juu ya muungano tunawapa mwaka mmoja katiba ikianza kutumika mtakula mabofro mpka mkome