Liacheni hilo lije tena litarahisisha matarajio yetu kwamba ni lazima siku moja tutiane kibano ili tuheshimiane...hapa ni kurudi chimbo ili kuendelea kujiweka fiti tayari kukwanguana mchana kweupe
Kwa hiyo muswada huu ungepitishwa no matter what..maanake upinzani wasingeweza kushindana na CCM 300..Ni Tetesi but will soon be confirmed:
baada ya kupima kipima joto cha nje ya bunge, madam spika ameumwa sikio na baadhi ya vingunge wa magamba atoe muda kwa madam waziri ili apate muda wakushauriana na wabunge nguli na staunch wa CCM na kuweka sheria kali tena kali kwa yeyote atakayethubutu kuuelezea tofauti ama kupinga kwa namna yeyote ile Nasikia hakutakuwa na option ya faini ni Kifungo tu for maximum of up to 5 years:
Kama hivi ndivyo itakuwa hivyo, ni Moto kwenye Petrol: ;aman Busara iko Wapi??? But why my poor Tanzania! Mungu huko wapi? .bona unatuacha waja wako? we are turning into devils!
Ni Tetesi but will soon be confirmed:
baada ya kupima kipima joto cha nje ya bunge, madam spika ameumwa sikio na baadhi ya vingunge wa magamba atoe muda kwa madam waziri ili apate muda wakushauriana na wabunge nguli na staunch wa CCM na kuweka sheria kali tena kali kwa yeyote atakayethubutu kuuelezea tofauti ama kupinga kwa namna yeyote ile Nasikia hakutakuwa na option ya faini ni Kifungo tu for maximum of up to 5 years:
Kama hivi ndivyo itakuwa hivyo, ni Moto kwenye Petrol: ;aman Busara iko Wapi??? But why my poor Tanzania! Mungu huko wapi? .bona unatuacha waja wako? we are turning into devils!
Ikiwa kweli swali wanazo fedha za kutosha kuhudumia wafungwa wote wa kisiasa nchini? Na wanayo hayo magereza!? I pray wapitishe kitu kama hicho.. I really do.
Liacheni hilo lije tena litarahisisha matarajio yetu kwamba ni lazima siku moja tutiane kibano ili tuheshimiane...hapa ni kurudi chimbo ili kuendelea kujiweka fiti tayari kukwanguana mchana kweupe
Ni Tetesi but will soon be confirmed:
baada ya kupima kipima joto cha nje ya bunge, madam spika ameumwa sikio na baadhi ya vingunge wa magamba atoe muda kwa madam waziri ili apate muda wakushauriana na wabunge nguli na staunch wa CCM na kuweka sheria kali tena kali kwa yeyote atakayethubutu kuuelezea tofauti ama kupinga kwa namna yeyote ile Nasikia hakutakuwa na option ya faini ni Kifungo tu for maximum of up to 5 years:
Kama hivi ndivyo itakuwa hivyo, ni Moto kwenye Petrol: ;aman Busara iko Wapi??? But why my poor Tanzania! Mungu huko wapi? .bona unatuacha waja wako? we are turning into devils!
Ikiwa kweli swali wanazo fedha za kutosha kuhudumia wafungwa wote wa kisiasa nchini? Na wanayo hayo magereza!? I pray wapitishe kitu kama hicho.. I really do.
Yaani huu ni ULEVI tu wa madaraka. Yaani mpaka mtu kuja kufikiria kitu kama hicho atakuwa kalewa tu na si pombe, huenda mikojo. Itakuwa vyema kutunga hiyo sheria maana siku JK anaisaini ndiyo itakuwa siku yake ya kwanza baada ya muda mrefu kwenda kuishi kwao sijui Kasoga, sijui Chisoga wherever permanently kama si Segerea . Watanzania hawatakubali kuchezewa kiasi hicho kwa ajili ya manufaa ya kikundi fulani. Hizi busara zikisafiri sijui ni kwa nini zinachelewa kurudi.