Mnwele
Senior Member
- Feb 4, 2010
- 162
- 100
Ni Tetesi but will soon be confirmed:
baada ya kupima kipima joto cha nje ya bunge, madam spika ameumwa sikio na baadhi ya vingunge wa magamba atoe muda kwa madam waziri ili apate muda wakushauriana na wabunge nguli na staunch wa CCM na kuweka sheria kali tena kali kwa yeyote atakayethubutu kuuelezea tofauti ama kupinga kwa namna yeyote ile Nasikia hakutakuwa na option ya faini ni Kifungo tu for maximum of up to 5 years:
Kama hivi ndivyo itakuwa hivyo, ni Moto kwenye Petrol: ;aman Busara iko Wapi??? But why my poor Tanzania! Mungu huko wapi? .bona unatuacha waja wako? we are turning into devils!
baada ya kupima kipima joto cha nje ya bunge, madam spika ameumwa sikio na baadhi ya vingunge wa magamba atoe muda kwa madam waziri ili apate muda wakushauriana na wabunge nguli na staunch wa CCM na kuweka sheria kali tena kali kwa yeyote atakayethubutu kuuelezea tofauti ama kupinga kwa namna yeyote ile Nasikia hakutakuwa na option ya faini ni Kifungo tu for maximum of up to 5 years:
Kama hivi ndivyo itakuwa hivyo, ni Moto kwenye Petrol: ;aman Busara iko Wapi??? But why my poor Tanzania! Mungu huko wapi? .bona unatuacha waja wako? we are turning into devils!