Muswada kuruhusu mume kujamiana na maiti huko misri

Mwili umesisimuka kwa woga! Hivi tunaelekea wapi? Watu wanatumia muda mwingi kuwaza ngono. Aibu kwao!!!

Nimejiuliza na majibu sipati. Hata hao wazungu tunaopenda kucopy na kupaste kila kitu watakuwa wanatushangaa.
 
Nani ameshinikiza hii sheria wakuu, wanawake au wanaume? Wamepimwa akili zao wako sawa?

Kusema kweli inatisha na kusikitisha sana! Bahati mbaya nimewahi kusikia kuwa hapa Tanzania kuna Kabila inayoendeleza utaratibu huu (japo wahusika wanasema tabia hii kwa sasa imebakia sehemu chache sana huko vijijini kwao).

Tuzidi kupiga vita mila ambazo zinahatarisha ubinadamu wetu!
 
Hii nimeisikia lakini inaniwia vigumu sana kuamini kama kweli wanaweza kupitisha sheria kama hiyo.

Sitashangaa kama ni moja ya propaganda tu za wapinzani wa kisiasa katika jitihada zao kupakana matope na kuchafuana.

Kwama si kweli kwa nini wanawake wanaharakati wanaandamana kupinga?
 
Hizi ni dalili za kifichi za ile deen ya mlengo wa kushoto kutaka jukwaa la wazi. Kuna mtu aliniambia kuzimu siku hizi haipo tena underground ila imetoka humo na inatembea kwenye bara bara za mitaa yetu mchana kweupe. Kwa hili la Misri nakubaliana nae.
.
 
Hivi kwa nini ngono inapewa umuhim namna hii. Hisia za tendo inatoka wapi kwenye maiti.. Huu ni mfumodume Wa waarabu tu. Sasa na mwamke akifiwa na mume inakuaje? Atamuagaje?

Sidhani kama waarabu wote wanaendekeza huu upuuzi, sijasikia Iran wala Uarabuni. Nimesikia kwa waarabu waafrika tu

Kwa mwanamke itakuwaje? Tusubiri tuone mwisho wake
 
Kusema kweli inatisha na kusikitisha sana! Bahati mbaya nimewahi kusikia kuwa hapa Tanzania kuna Kabila inayoendeleza utaratibu huu (japo wahusika wanasema tabia hii kwa sasa imebakia sehemu chache sana huko vijijini kwao).

Tuzidi kupiga vita mila ambazo zinahatarisha ubinadamu wetu!

Kabila gani mkuu. Ni vizuri tukajua
 
Hii ni kudhalilisha wanaume wote wa Misri na jamii ya waarab kwa ujumla! Hata wanyama hawafanyi hivyo! Muasisi wa huo muswada apimwe akili, sio mzima.

Ni aibu pia kwa jamii ya Afrika pia
 
Hizi ni dalili za kifichi za ile deen ya mlengo wa kushoto kutaka jukwaa la wazi. Kuna mtu aliniambia kuzimu siku hizi haipo tena underground ila imetoka humo na inatembea kwenye bara bara za mitaa yetu mchana kweupe. Kwa hili la Misri nakubaliana nae.
.

Dini ipi hiyo?
 
Sasa hawa watu siwaelewi bse ni mapolygamy sasa akifa uyo mmoja wengine si wapo!
Unless they enlighten me on that otherwise ni UHUNi TUU
 
Bunge jipya huko Misri linategemea kupitisha sheria ya kuruhusu wanaume waliofiwa na wake zao, kufanya nao ngono kwa lengo la kuwaaga. Muswada wa sheria hiyo mpya tayari imepingwa na wanaharakati wanawake kwa kuwa pia inaruhusu ndoa kwa mabinti walio chini ya miaka 14

Sheria hiyo itamruhusu mume kufanya mapenzi na maiti ya mkewe, ndani ya saa 6 baada ya kufariki. Sheria hiyo itajulikana kama KUAGANA KWA KUJAMIANA.

Source. Gazseti la Uhuru

Kubaka maiti kunaleta upatanisho gani? Unamuaga mtu kwa kumtendea uhayawani?
Hiyo sheria itakua ya kipuuzi sana.Patana na mtu hai uelewane naye usingoje kuja kubaka maiti yake!


(Newser) – Husbands who aren't into lively sex would have the option of making love to their dead wives under a bill before the Egyptian parliament. The "Farewell Intercourse" bill would permit a husband to have sex with his wife up to six hours after her death. Theoretically, women could do the same, but practical realities would be an obstacle. The strange practice was discussed last year by controversial Moroccan cleric Zamzami Abdelbair, who declared that necrophilia is religiously acceptable. An Egyptian journalist blasted the idea as a "catastrophe," reports al-Arabiya. Could "the panel that will draft the Egyptian constitution possibly discuss such issues?" he asked. "Has the Islamic trend reached that far?"

It's one of a series of bills that could result in major setbacks for women in Egyptian society. Other laws under consideration include lowering the official age that girls can marry to 14, severely restricting a woman's right to divorce, and mandating female genital mutilation.
 
Back
Top Bottom