mi sioni ubaya,kwani kujamiiana ni kukutana kimwili,na mtu anapokufa mwili c upo bado?waagane tu,mradi sheria iwaruhusu tu!maana sheria ni makubaliano ya wanajamii,inaonekana ni kitu cha ajabu kwa sababu ni kigeni tu,kama tungezaliwa na kukuta mambo haya yanafanyika ingekuwa ni kawaida kabisa