Wzanzibar wanasema kukurupuka tu Mh Karume kuunganyisha nchi bila ya Ridhaa ya wenye nchi ilikuwa ni kosa kubwa na asari zake ndio tunazo zivuna sasa.
Wanasema katu haingii akilini watu millin 1.2 tuungane na watu million43 haingii akilini kabisa.
Hatutaki Muungano Fake basi tumechoka.
Kuendelea Muungano huu bila ridhaa ni kutawaliwa kinguvu na Tanganyika (Tanzania)"] [/caption]
huu mswada pia umekataliwa wala panya,,na buku,,kama muswaha haukutaja KAdhi na OIC. ni ovias utakataliwa na wala-urojo
kama muswaha haukutaja KAdhi na OIC. ni ovias utakataliwa na wala-urojo
Wavunjilie mbali shensi type, wazanzibari wamekuwa kula kulala tangu 1964, na wamepora ardhi zetu. Pia wameharibu harakati zetu za kujikomboa kwa kafu kufunga ndowa na sisemu.
Ukivunjika tu wafunge virago warudi makwao wanatutia joto na karaa. Wakishuhulikiwa na serikali huko kwao wasikimbilie kwetu.
Nenda mwana kwenda!
Kumbe mnajua kuwa mumeolewa talaka tutawapa tu, hilo wala msihofu....
Tukivunja muungano wazenji watahangaika sana.Sasa hivi wanaona oa sababu tumewaachia wanavinjari huku bara waache mchezo bana alh!
Muungano ulikuwa uamuzi wa viongozi wa nchi mbili kuamua kuungana for the common good...na kwa sababu hiyo common good haiwi experienced na upande mmoja, there is no need to continue with system that hurts and burdens one side....kama ndoa inavunjwa kwa kukosekana kwa common good...sembuse muungano ambao ni suala la makubaliano na maamuzi....kama sisi watanganyika hatuoni faida ya muungano tuendelee tu kuumia kwa sababu kuna wachache wenye mamlaka wana some interest in this monster unity? Watanganyika let us think, and reflect, what have we benefited from Muungano? It is like we have n0o rights of our own while Serikali ya Zanzibar is both autonomous na pia serilaki ya Muungano...sisi ni serikali tu ya Muungano, with no autonomy....