mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Kweli ccm mwaka huu hawana pa kutokea....huku Bara moto,visiwani moto. BIg up wazanzibari kwa kuuchanachana huo muswada wa ccm.
Mwenyekiti wa maimam Zanzibar amesabisha kuvunjika kwa kikao cha kujadili muswada wa rasimu ya katiba pale alipoamua kuuchana muswada huo mbele ya kamati na kutoka nje.... vurugu a kelele zilitawala na watu kuanza kutoka huku wakiimba "hatutaki muungano".
pia imam aligusia swala za kura za maoni juu ya muungano kwanza kabla ya Zanziba kujadili katiba mpya....!
ni wazi kwamba serikali ili-under estimate response ya watu wa Zanzibar juu ya muungano, pia inawezekana serikali illitambua hili na ndio maana hawakutaka wazanzibari wajadili wenyewe bali waje bara (Dar au Dodoma)
Tafakari....
Source: TVZ