Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma


Tupeni gharama za huo mradi tuone kama watanzania tutashindwa kuuchanga huo mtaji, train man power tuone kama huo mradi hautakuwa productive chini ya wazawa.
 
Nadhani mnaona wenyewe picha inajieleza
IMG_1460.jpg

Anaitwa sheikh Abdul wa geita kwa sasa
 
Back
Top Bottom