Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,733
- 5,490
TANZIA
Ndg yetu Mustapha Nzogela, Mwanachama wa Yanga na mmoja wa waasisi wa mwanzo kabisa wa Tawi la Yanga Pamoja Mbezi, alifariki Kwa ajali ya Maji juzi ktk bonde la Mkwajuni akijaribu kupita na Noah yake bila kujua kama maji ni mengi na yanapita juu ya Barabara, mazishi yamefanyika Leo Luguruni, amefariki yeye na Mke wa mdogo wake;
Mke wake na Watoto walitangulia nyumbani kwa daladala mapema kabla ya Maji kuwa mengi
Ndg yetu Mustapha Nzogela, Mwanachama wa Yanga na mmoja wa waasisi wa mwanzo kabisa wa Tawi la Yanga Pamoja Mbezi, alifariki Kwa ajali ya Maji juzi ktk bonde la Mkwajuni akijaribu kupita na Noah yake bila kujua kama maji ni mengi na yanapita juu ya Barabara, mazishi yamefanyika Leo Luguruni, amefariki yeye na Mke wa mdogo wake;
Mke wake na Watoto walitangulia nyumbani kwa daladala mapema kabla ya Maji kuwa mengi