Greda zinaanzia boardroomTumechoka na hizi hadithi ,mbona hatuoni magreda site?
Kuna Mlazy mmoja alitudanganya kwamba mikataba zote zilikuwa zimetiwa saini mwezi uliopita.
Museveni ndo kaondoka Dar, ngoja tuone kama anakuja Lamu port....
Museveni ndo kaondoka Dar, ngoja tuone kama anakuja Lamu port....
Rais wa nchi gani anakuja zaidi ya Uhuru?Kufanya nini lamu,
Lapsset na Uganda zinaingiana aje?
Anarudi kwake Entebbe
Rais wa nchi gani anakuja zaidi ya Uhuru?
Hawa wa groundbreaking hawaji?
Uhuru is all alone, neither South Sudan's Kiir nor Ethiopia's Ahmed is there....si mbadili jina toka LAPSSET to LAPIST (Lamu port Isiolo Transport corridor) ? Mbona mnajiangaisha na ndoto za mchana?Ligi za kitoto peleka nursery.
HAHA, poor guy, FID is not a contract, is just a decision. after the signing of these contract , IOCs are now free to start working on the project.Bado wanatia tia masaini. Nadhani hata hio FDI tuliodanganywa kwamba imesainiwa bado haijasainiwa. Ujenzi wenyewe nadhani utaanza mwaka ujao maana hata hio FDI bado haijatiwa saini.
Nimemsikia leo Rais anasema watu wamechoka kusikia hizi habari yapata miaka 5 sasa kwamba wamalizie haraka mambo mengine yaliyosalia Ili Kazi ianze.Bado wanatia tia masaini. Nadhani hata hio FDI tuliodanganywa kwamba imesainiwa bado haijasainiwa. Ujenzi wenyewe nadhani utaanza mwaka ujao maana hata hio FDI bado haijatiwa saini.
Hiyo road ni nzuri na muhimu zaidi kuwapita hao wapuuziHuyu Mkunya Tony254 ana-bore yaani ana wivu kama mwanamke! Halafu naomba asikilize speech ya Museveni kasema mbali na mafuta zaidi toka Albertine region, proven oil reserves toka Karamoja region, South Sudan, DRC na Burundi zitatatumia hili bomba! Halafu Waziri wa Nishati kasema uwezekano wa mafuta sehemu tatu Tanzania ni mkubwa!
Economic realignment of EACOP countries imeanza!