Museveni agoma kuondoka TZ

Museveni agoma kuondoka TZ

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Mu 7 amebaki bongo akisubiri kumsalimia Obama. Kasema haondoka mpaka amshike mkono! Kumbuka ilikua aondoke leo baada ya kumalizika kwa mkutano wa smart partership. Kaguta hana kinyongo na TZ. Kenya wanune tu!
 
safi,hakuna tatizo..jamani watanzania tumewapiku kenya karibia kila kitu..tunawakimbiza kwenye pato la taifa kwa spidi.zamani walikuwa wanadai Nairobi ni london ndogo sasa eti wamenuna kwa nini dar inaipiku nairobi
 
source plz? na wapi airport au ikulu kwenye dhifa ya kitaifa?
 
Rudi ktk historia,siasa ya kenya haishabiani na tz.utapata jibu
 
uchaguzi tuliisha. sasa hivi tuwe wataifa zaidi tujifunze kutoka marekan si kila kitu mnaingiza vyama
 
safi,hakuna tatizo..jamani watanzania tumewapiku kenya karibia kila kitu..tunawakimbiza kwenye pato la taifa kwa spidi.zamani walikuwa wanadai Nairobi ni london ndogo sasa eti wamenuna kwa nini dar inaipiku nairobi
Ndugu pesa iliyopo Kenya Sio ya Wakenya, ni ya Wakoloni, kumbukeni Kenya Sio Nchi huru mpaka sasa, Mzee Kenyatta alisainishwa kwa vitisho Uhuru wa Mkataba ama Jeshi la Uingereza lingevamia na kutawala kwa nguvu, alichosaini ni Kuwaacha Waingereza na Mali zao, mashamba na kila walichokuwanacho kiendelee Kuwa chao. Kwa hiyo siku wakiamua kurudisha pesa yao England Kenya ni Zimbabwe nyingine.
 
Mu 7 amebaki bongo akisubiri
kumsalimia Obama. Kasema haondoka mpaka amshike mkono! Kumbuka ilikua
aondoke leo baada ya kumalizika kwa mkutano wa smart partership. Kaguta
hana kinyongo na TZ. Kenya wanune tu!

Unachezea rais wa Dunia?
 
safi,hakuna tatizo..jamani watanzania tumewapiku kenya karibia kila kitu..tunawakimbiza kwenye pato la taifa kwa spidi.zamani walikuwa wanadai Nairobi ni london ndogo sasa eti wamenuna kwa nini dar inaipiku nairobi

Ki uchumi? Elfu moja ya Kenya, ni Tsh. Ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom