Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

Sishangai lions viongozi wa serikali iliyopo madarakani kulinda maslahi ya wageni na hasa weupe,nijuavyo mimi wanajua wazi wakiwapa wageni watapata ten percent.inashangaza eti waziri anasema ni aghali sana kuwekeza kwenye utafiti wa gas, kisima kimoja kinakaribia 100 billion,nani aliiyemwambia watanzania hawana hizo pesa kama ni swala la wataalam si wanaweza kuajiriwa tu,kwani shida iko wapi?nakumbuka wakati wa utawala wa mkapa bwana Mengi alinyimwa kuwekeza Kilimanjaro hoteli na akapewa mwarabu.Hii ndio Tanzania,viongozi vichaa
 
Huyu Mengi alishawahi kuibuka na issue ya mafisadi papa!Jiulize iliishaje?

Wewe ndiye Kilaza kweli sasa ulitaka Mengi awakamate? Yeye alitoa taarifa kwa umma kam ingekuwa siyo kweli si wangemshitaki kwa kuwadhalilisha? Mbona husemi kashifa ya Kamanda Nzow kutaka kumbambikizia madawa ya kulevya mtoto wake mbona serikali na waliotajwa hadharani hawakuchukua hatua yoyote kama walisingiziwa? I think you have personal conflict with mzee Mengi! Siyo bure, utakuwa unakula kwa akina Yusuf Manji!
 
Duniani kote, nchi zilizoendelea zimefikia hivyo baada ya kujenga mazingira na kuimarisha uwezo wa wananchi wa nchi husika (wazawa) kufikia kiwango cha kuwa wawekezaji wakubwa. Na hiyo inatokana na ukweli kwamba, katika nyanja za Uchumi kuna wakati wawekezaji hawana budi kukaaa na Serikali na kujadili kwa maslahi ya Nchi hata kama kitakachokubaliwa kitawaathiri wawekezaji kwa kiasi fulani (Hili liliwahi kutokea hata Korea baada ya financial crisis ya 1997; company reforms). Katika msingi huu, si rahisi kuzikutanisha subsidiry companies zilizoko Marekani, UK, Russia, China; ni wawekezaji wazawa tu ndio utawafanya hivi.

Vilevile, Nchi ikiwa inamilikiwa na wawekezaji wa nje pekee na wakubwa, Serikali itafikia wakati itashindwa kutekeleza sera au sheria kwa kuwa itaonekana kama inabagua wawekezaji au itakuwa ikishtakiwa mara kwa mara kwani hawa watu wana mitandao mikubwa na ni wataalamu waliobobea katika nyanja zote kutokana na uwezo mzuri walionao wa kuwalipa wataalamu wao worldwide. Lakini vilevile, Makampuni makubwa yakishika uchumi wenu, ni lazima ya-push kutungwa kwa sheria rahisi ya ku-transfer money ambayo itakuwa mwiba kwa Serikali. Kadhalika, makampuni ya nje yapo kwa ajili ya faida, yanapopewa kushika rasilimali ambazo sio renewable, pindipo zikikauka na wenywe huwa wanafanya "suddenly closure" itakayosababisha economic crisis kubwa sana kushindwa kuitetea.

Kutotoa kipaumbele ikiwa pamoja na kuwapa uwezo, kuwathamini na kuwasaidia ikiwa pamoja na kuwadhamini kupata mikopo mikubwa kwa ajili ya kushiriki uwekezaji wa ndani ya nchi yao, ni kosa ambalo litaifanya Tanzania iwe kama ilivyokuwa Afrika Kusini chini ya Makaburu. Na niwaambie ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi. Kwa yeyote anayejua Economic History ataelewa hili, ni kwa kiasi gani UK, US, Canada, Australia, Japan, Korea zemejengeka kwa kuwajenga kiuwezo wawekezaji wao wa ndani. Mlio karibu na Rais hebu, mwambieni hili haraka, kitaalam ni hatari. Profesa Muongo huenda hajui kitu cha namna hii na nashangaa nani anaratibu economia ya uwekezaji katika Rasilimali?

Ni rahisi kuona faida za uwekezaji watu wako, hebu angalia Bakhresa na Mengi namna wanavyosaidia katika ajira na stability ya nchi. Pamoja na mishahara na huduma zao kuwa ni za kada za kati, huwezi kufananisha na Makampuni ya Kigeni ambayo kwao ajira zao ni kidogo, tena zina zaidi ya 3/4 wageni toka nje. Akili gani hii nchi yangu inafanya?????????????. Hatari sana watu wenye mawazo ya Ki-Muhongo-muhongo kwamba "Blacks" hawawezi kufanya mambo ya maana. So sad!


Juhudi za kuongeza Taasisi za elimu ya juu zinazotoa masomo ya biashara kama sasa, hazitakuwa na maana yoyote kama hazitaendana na kujenga uwezo na kuwapa uwezo Kampuni za ndani kuendesha biashara, kuwekeza na hivyo kuajiri wataalamu kutoka vyuo hivyo badala ya kuwaachia wageni ambao watakuja kuleta wataalamu kutoka nchi mwao ambako nako kuna tatizo la ajira. Haya maneno, yatakuja kukumbukwa japo miaka 20 ijayo kwa yatayomkuta Rais wa kipindi hicho wa Tanzania. The Big-Show, Nguruvi3

Moja za athari tunazopata kwa kuwategemea foreign investors ni suala la ajira. Hawa jamaa huwa wanaajiri karibu nyanja zote muhimu watu wao wanaokuja nao. Nafasi za chini ndio wenyeji wanaachiwa. Ingekuwa busara na jambo la msingi kama tungekuwa tunawapa kipaumbele wazawa katika uwekezaji. Hii ingesaidia sana kuongeza nafasi za ajira. Na mawazo ya kwamba wenyeji hawawezi mimi nadhani ni mawazo ya kizamani. Tukiendelea na fikra za namna hii tutabakia kuendeshewa miradi yetu na wageni na kuendelea kuibiwa. Kina BAKHRESA, MENGI and the like wamelifanyia taifa makubwa sana katika kutengeneza ajira. Ni vyema kuthamini mchango wao sasa.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la watanzania tunapenda sana kupakwa mafuta ili hali kweli hatuwezi.Kila sehemu tunapenda usanii.Prof aliona billioner wa bongo amewekeza sana kwenye viwanda vya vyakula ndio maana akasema ukweli gasi hatuwezi.uwekezaji katika Gas si mchezo.hata maofisini mbogo akikosea anataka aambiwe kwa kubembelezwa,ndio maana hatufiki.
 
Duniani kote, nchi zilizoendelea zimefikia hivyo baada ya kujenga mazingira na kuimarisha uwezo wa wananchi wa nchi husika (wazawa) kufikia kiwango cha kuwa wawekezaji wakubwa. Na hiyo inatokana na ukweli kwamba, katika nyanja za Uchumi kuna wakati wawekezaji hawana budi kukaaa na Serikali na kujadili kwa maslahi ya Nchi hata kama kitakachokubaliwa kitawaathiri wawekezaji kwa kiasi fulani (Hili liliwahi kutokea hata Korea baada ya financial crisis ya 1997; company reforms). Katika msingi huu, si rahisi kuzikutanisha subsidiry companies zilizoko Marekani, UK, Russia, China; ni wawekezaji wazawa tu ndio utawafanya hivi.

Vilevile, Nchi ikiwa inamilikiwa na wawekezaji wa nje pekee na wakubwa, Serikali itafikia wakati itashindwa kutekeleza sera au sheria kwa kuwa itaonekana kama inabagua wawekezaji au itakuwa ikishtakiwa mara kwa mara kwani hawa watu wana mitandao mikubwa na ni wataalamu waliobobea katika nyanja zote kutokana na uwezo mzuri walionao wa kuwalipa wataalamu wao worldwide. Lakini vilevile, Makampuni makubwa yakishika uchumi wenu, ni lazima ya-push kutungwa kwa sheria rahisi ya ku-transfer money ambayo itakuwa mwiba kwa Serikali. Kadhalika, makampuni ya nje yapo kwa ajili ya faida, yanapopewa kushika rasilimali ambazo sio renewable, pindipo zikikauka na wenywe huwa wanafanya "suddenly closure" itakayosababisha economic crisis kubwa sana kushindwa kuitetea.

Kutotoa kipaumbele ikiwa pamoja na kuwapa uwezo, kuwathamini na kuwasaidia ikiwa pamoja na kuwadhamini kupata mikopo mikubwa kwa ajili ya kushiriki uwekezaji wa ndani ya nchi yao, ni kosa ambalo litaifanya Tanzania iwe kama ilivyokuwa Afrika Kusini chini ya Makaburu. Na niwaambie ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi. Kwa yeyote anayejua Economic History ataelewa hili, ni kwa kiasi gani UK, US, Canada, Australia, Japan, Korea zemejengeka kwa kuwajenga kiuwezo wawekezaji wao wa ndani. Mlio karibu na Rais hebu, mwambieni hili haraka, kitaalam ni hatari. Profesa Muongo huenda hajui kitu cha namna hii na nashangaa nani anaratibu economia ya uwekezaji katika Rasilimali?

Ni rahisi kuona faida za uwekezaji watu wako, hebu angalia Bakhresa na Mengi namna wanavyosaidia katika ajira na stability ya nchi. Pamoja na mishahara na huduma zao kuwa ni za kada za kati, huwezi kufananisha na Makampuni ya Kigeni ambayo kwao ajira zao ni kidogo, tena zina zaidi ya 3/4 wageni toka nje. Akili gani hii nchi yangu inafanya?????????????. Hatari sana watu wenye mawazo ya Ki-Muhongo-muhongo kwamba "Blacks" hawawezi kufanya mambo ya maana. So sad!


Juhudi za kuongeza Taasisi za elimu ya juu zinazotoa masomo ya biashara kama sasa, hazitakuwa na maana yoyote kama hazitaendana na kujenga uwezo na kuwapa uwezo Kampuni za ndani kuendesha biashara, kuwekeza na hivyo kuajiri wataalamu kutoka vyuo hivyo badala ya kuwaachia wageni ambao watakuja kuleta wataalamu kutoka nchi mwao ambako nako kuna tatizo la ajira. Haya maneno, yatakuja kukumbukwa japo miaka 20 ijayo kwa yatayomkuta Rais wa kipindi hicho wa Tanzania. The Big-Show, Nguruvi3


Mkuu Zinedine

Shukran sana,Fikra zako ni pevu sana,
Nimekusoma kwa utuvu wa hali ya juu.
 
Last edited by a moderator:
Muhongo ataleta machafuko humu nchini na kauli zake chafu za uropokaji. Anadai hawezi kuongea na watanzania kwenye mambo ya uwekezaji kwenye gesi kwa sababu watakuwa wanapoteza muda wake.....!

---------------------------------



----------------------------------

Reginald-Mengi-kuhusu-Muhongo-kumsambazia-taarifa-za-uongo.png

Msidhani Mengi anawatetea watanzania kwa hili. Anatetea maslahi yake binafsi. Kila uwekezaji akikosa lazima apige kelele. Kilimanjaro Hotel ilikuwa hivyo hivyo. Hivi tujiuliza uwekezaji ule ulifanikiwa au la? Je Mengi angeweza kuwekeza pesa aliyowekekeza mwarabu?
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.

Meningitis huwa naheshimu sana comments zako lkn kwa hapa tupingane bila kupigana. Aliyekudanganya watz hatuna uwezo ni nani?
Mimi ninao. Ninawafahamu wengi tu walio na uwezo. Tatizo ni kukariri kama baba wa taifa alivyokwisha sema, viongozi wengi (kama siyo wote) tulionao leo wanaamini mawazo yao ndiyo mawazo ya watanzania na mitizamo yao(hofu zao) ndiyo mitizamo ya watz.
Hii siyo kweli...its kind of a brainwash technique our leaders are happily nurturing oblivious of the deadly consequences.

HAKUNA TAIFA LOLOTE DUNIANI LILILOJENGWA NA WAWEKEZAJI WA NJE HUKU WA NDANI WAKIWA WATAZAMAJI. HAKUNA. PERIOD
 
Huyu ni Professor wakuteuliwa, Mbunge wa kuteuliwa, Waziri wa kuteuliwa. Hiyo ndio output ya kuteuliwa kwa kila kitu....
 
Kumbe Tanzania tumejaa vitalu! Kuna vitalu vya viwanja (majengo), vitalu vya kuvuna wanyama hai au kuwapiga huku ukishangilia na sasa vitalu vya kuvuna gesi! Bado vitalu vya makaa ya mawe, vitalu vya urani, vitalu vya chuma, nk. na bado kuna vingine vinakuja. Kwa bahati mbaya vitalu vingi humilikishwa kwa wageni. Kwa mwendo huu wa vitalu na maliasili tuliyonayo muda si muda Tanzania yote itakuwa vitalu na hivyo itamilikishwa!
Tanzania shamba la bibi
 
krap kabisa hii

You cant let outsiders run these shows, it is the responsibility of the government to build local ownership na sio kusema sisi hatuwezi.... if that is the case what is the use of his education??

Imbechili at work
Eyes can not see if the mind does not know!
 
Meningitis huwa naheshimu sana comments zako lkn kwa hapa tupingane bila kupigana. Aliyekudanganya watz hatuna uwezo ni nani?
Mimi ninao. Ninawafahamu wengi tu walio na uwezo. Tatizo ni kukariri kama baba wa taifa alivyokwisha sema, viongozi wengi (kama siyo wote) tulionao leo wanaamini mawazo yao ndiyo mawazo ya watanzania na mitizamo yao(hofu zao) ndiyo mitizamo ya watz.
Hii siyo kweli...its kind of a brainwash technique our leaders are happily nurturing oblivious of the deadly consequences.

HAKUNA TAIFA LOLOTE DUNIANI LILILOJENGWA NA WAWEKEZAJI WA NJE HUKU WA NDANI WAKIWA WATAZAMAJI. HAKUNA. PERIOD
Mkuu usipende kuamini ngonjera za kina Mengi!
Niambie ni mtanzania au kampuni ya kitanzania gani aliyewekeza katika tafiti za rasilimali zetu hasa hayo mafuta na gesi?
Kina mengi wabakie kuuza soda na juisi tu,wasijidai na kujikweza kwa vitu wasivyoviweza.
Watanzania hatujawekeza katika utaalamu vya kutosha!tunatakiwa kufanya hivyo sasa...
 
Tatizo la viongozi wetu tuliowaweka madarakani wanatuona watanzania ni walewale wa miaka ya 47.Sijui tunakoenda Tanzania yetu itakuwaje na haya madawa ya kulevya na ukiangalia viongozi haohao ndiyo wanaotuharibia vijana kwa kuwafanya punda wa kubeba mizigo.Inabidi kujiuliza ni kwa nini viongozi wetu wanakuwa na kiburi cha kuweza kuwadharau hata waliowaweka kwenye hayo madaraka.

mkuu kwani Muhongo alichaguliwa na nani hadi awajali walalahoi ? Si inasemekana alipigiwa simu ya uteuzi akiwa anakula bata mahali ! Aogope nini tena mjomba !
 
Muhongo ni tapeli. Huyu jamaa muulizeni nani alimvunja mguu.....

Ana roho mbaya hadi kumuua mkewe, nyang'au
 
Wewe ndiye Kilaza kweli sasa ulitaka Mengi awakamate? Yeye alitoa taarifa kwa umma kam ingekuwa siyo kweli si wangemshitaki kwa kuwadhalilisha? Mbona husemi kashifa ya Kamanda Nzow kutaka kumbambikizia madawa ya kulevya mtoto wake mbona serikali na waliotajwa hadharani hawakuchukua hatua yoyote kama walisingiziwa? I think you have personal conflict with mzee Mengi! Siyo bure, utakuwa unakula kwa akina Yusuf Manji!
Ugomvi wangu na Mengi ni mmoja tu!
Ni mzee mnafiki sana ....hasimami na wanaharakati wa kweli,ni mtu wa kuangalia maslahi yake akifanikiwa anawaacha kwenye mataa.Kumbuka Mengi ni mwanaccm na inayofanya hayo mnayoyalalamikia ni ccm.kwa nini asitumie influance yake kushawishi chama chake katika hili na mengine mengi?
By the way nasubiri ile hospitali ya magonjwa ya moyo aliyotuahidi kuijenga.

Mengi ni mfanya biashara na sio mwekezaji ...bado sana kuwa mwekezaji hasa hasa unapoongelea uwekezaji katika mafuta au gesi!
Ukimsikia Mengi analaumu ujue hilo jambo limathiri maslahi yake binafsi na si watanzania kwa ujumla.
 
Ugomvi wangu na Mengi ni mmoja tu!
Ni mzee mnafiki sana ....hasimami na wanaharakati wa kweli,ni mtu wa kuangalia maslahi yake akifanikiwa anawaacha kwenye mataa.Kumbuka Mengi ni mwanaccm na inayofanya hayo mnayoyalalamikia ni ccm.kwa nini asitumie influance yake kushawishi chama chake katika hili na mengine mengi?
By the way nasubiri ile hospitali ya magonjwa ya moyo aliyotuahidi kuijenga.

Mengi ni mfanya biashara na sio mwekezaji ...bado sana kuwa mwekezaji hasa hasa unapoongelea uwekezaji katika mafuta au gesi!

Kumbe kuna tofauti Kati ya kuwekeza na kufanya biashara?? Mwekezaji hafanyi biashara?? Wasomi nyie muna taabu sana mlisoma ili mtumikie wazungu Nadhani...🙄🙄
 
Eti nani...Profesa Muongo au Profesa Muhogo au Profesa Muhongo?
Lakini anaweza asiwe mbali na ukweli. Kama vitalu vya wanyama pori watanzania tunashindwa kuwinda ipasavyo badala yake tunavifanyia udalali sembuse vitalu vya mafuta na gesi vinavyo hitaji uwekezaji wa madola mamilioni! Huyo Mengi anao ubavu wa kuwekeza katika vitalu vya mafuta? I think labda anataka vitalu ili afanye udalali au aalike makampuni ya nje ili agawiwe hisa vinginevyo atauza IPP yake mpaka mbwa wa nyumbani kwake! ndio udalali kwa kila kitu tulionao watanzania...udali wa vyumba, udalali wa nyumba, udalalai wa viwanja, udalali wa mashamba, udalali wa magari....mpaka udalali wa wanawake (super stars wa kibongo)! Hey guys let's be serious when it comes to the matter of heavy investiments!
 
Kumbe kuna tofauti Kati ya kuwekeza na kufanya biashara?? Mwekezaji hafanyi biashara?? Wasomi nyie muna taabu sana mlisoma ili mtumikie wazungu Nadhani...🙄🙄

In business, to make money you need two critical assets: Customers and Employees. While in Investments, to make money you need two different kinds of assets: Money and Experience.

wewe bwana chesco endelea kufanya biashara ya maparachichi lakini kamwe usijidai una uwezo wa uwekezaji...labda baadae sana tena sio kwenye field ya mafuta.
 
Awww Hapa wote wamekosea kusema kweli tuache utani mh mengi kujifanya kwamba sisi watanzania tuna 100m usd na zaidi kufanyia utafiti tu wa mafuta huu ni utafiti mnaweza fika chini hamna kitu ni kudanganyana sio watanzania wengi wenye huu uwezo lakini pia huyu prof kutoa majibu Kama haya sio vizuri mengi ana tabla ya Kwenda kwenye vyombo vya habari yaaani ni la vile mwalimu mkuu basi akitangaza shule nzima isikilize suluhisho ni hawa watu kukaa pamoja naamini bongo kuna watu wana bilioni 2/3 pengine hadi bil 10 wakikusanywa hawa wakaundiwa kampuni au serikali ikawaalika wananchi kununua hisa ili kupata mtaji am pretty sure hizo hela zitapatikana lakini sio kubishana ili kila mmoja ajione ye zaidi yaaani hawa watu hawana washauri ? Pumbaf Kabisa
Sasa Kwani bank zimeenda wapi kwasababu unaweza kopa hizo pesa kwa banks ilimradi uwathibitishie kuwa unachofanya kitawarudishia pesa
 
Back
Top Bottom