Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

So sad!
Ndugu, huyo muhongo alikuwa ni mtumishi (mtafiti) wa wizara hiyo, alikuwa mkweli saaana na alikuwa anakipindi TBC radio. Ngeleja alikuwa hampendi mno kwani alikuwa anaweka kila kitu bayana kuhusu madini nchi nzima yaani alikuwa hafichi kitu. Hicho anacho kikataa leo, yeye alikuwa anakishauri jinsi ya kukitelekeza. Kwa masikio yangu mimi nilikuwa namsikia akizungumza haya. Muhongo alivutia watu wengi sana kwa jinsi alivyokuwa anazungu na kuishauri serikali. Ngeleja alikuwa hampendi kwa kuwa bwana Muhongo alikuwa anayaweka mambo yote bayana hivyo kuhatarisha ulaji. Muhongo alikuwa anagawa namba zake za simu redioni kwa yeyote aliyetaka kujua kuhusu masuhala ya madini amuulize. Ngeleja na Muhongo walikuwa mahasimu wakubwa. Ngeleja akamhandalia zengwe, kabla mambo ayajajipa mara gafla kibao kikageuka, Rais akamteuwa Muhongo kushika nafasi ya Ngeleja.
Watu sasa tukajua mpinga ufisadi kaingia kazini, sasa mambo yataenda saaafi kwa umakini, kumbe wapiiii... Yeye ndio nyangumi kabisaaa... kelele za mwanzoni ilikuwa msukumo wa njaa na utapia mlo tu. LEO anajipinga mwenyewe alivyowai kuvipendekeza kutoka kinywani mwake akiwa redioni.
Waliokuwa wakivisikiliza vipindi vyake TBC radio enzi zile watakubaliana na mimi. NASEMA HIVI, NI KWELI CCM NI CHAMA CHA KISHIRIKINA, HATA KAMA UKIWA MSAFI VIPI, UKIINGIA TU HALMASHAURI KUU/ KAMATI KUU, UNAKUWA FISADI LA KUTUPA. Jamaa ndio hivyo tena nae leo hii sio mwenzetu.
 
Eti alisemaje? Badala ya kumobilise watu wanunue vitalu anaongea fufu? Sie juisi na maandazi vinatosha?
Kiburi cha uzima hichi
 
Sospita muhongo,magesa mulongo na philipo mulugo,haya majina vipi? Wote ni majanga
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.

Ulitaka akimbilie wapi? Kwenye serikali sikivu?
 
I sometimes I dont really understand you JF members, when the tangible matters and things that changes community life in general, you all just run away from it. This is veryx5000 important, I want to see some really comments here by dawn. It can't be, nani anataka dharau, eti tanzanians can on invest on fruit processing, I DONT AGREES 1000000%, we can do a lot with our ability, motivation,commitment and for our Nation,
Au ndo vile tena, BUS LA KICHINA, DEREVA MCHINA, KONDA A CHINESE AND THE MECHANIC IS CHINESE.

MLACHAKE, THE BOSS, AND all Economical related personell Re needed here.
Waiting!!!!

Yani huyu jamaa anasimamia mambo ya utendaji wizarani lakini inaonesha busara za kuongea na kusimamia rasilimali kuhakikisha watanzania wanatumia hana!

anakazana kuwakatisha tamaa wanaotaka kuwekeza; yeye kama hawezi biashara na uwekezaji asiwakatishe tamaa wengine wenye nia na mtaji bali atafute namna ya kushirikiana nao moja ikiwemo hiyo waliyopendekeza TPSF kwani wanafanya hivyo ili na sisi tuwe na angalau kampuni zetu za mafuta.

Yeye anadhani nchi kama Saudia, Emirati, Iran na Venezuela ziliumbwa zikiwa zinaujuzi na uwezo wa kuchimba hizo rasilimali; la hasha, bali rasilimali hizo walijifunza namna mbalimbali ya kuzipata na kuzitumia kwa maslahi yao lakini kipaumbele kikiwa kuandaa wazawa ambao watakuja endesha sekta hiyo siku za mbeleni na leo hii wamefanikiwa.

Kwa hapa Profesa wazungu wanasema uko less informed and extremely arrogant!
 
Tumechoka na mirahaba, wakati umefika sasa na faida ya migodi yetu ibaki nyumbani kuendeleza nchi! Siasa isiingilie uchumi kupita kiasi!
 
BAK siwez kutafsri zaid kauli yake as it irritates..he may be intelligent but SURELY "UNWISE AND UNEDUCATED"
 
Last edited by a moderator:
kingfish mi mwenyewe nahs haya majina kunakitu, sio hvihvi...
 
Last edited by a moderator:
I agree with you on that. Without any doubt, in comparison to his education level his performance as a minister is very low.

BAK siwez kutafsri zaid kauli yake as it irritates..he may be intelligent but SURELY "UNWISE AND UNEDUCATED"
 
Nikikumbuka kipindi kile napoteza muda wangu kumsikiliza redioni, yaani nasikia hasira sana.
KUMBE ni muongo sijui Muhongo. Haya majina wakati mwengine yanatengeneza tabia aisee!. Jamaa lilikuwa pole kweli, linaongea kwa utaratiiiiibu kumbe lilikuwa linajinadi kwa Rais, duuuh!! aiseeeeeee!!!.
Leo hii kali kama chui, halitaki maswali kabisaaaaaaa,.. Kitu kidogo tu linawaka kama moto wa kifuu.
 
Aiseee huyu profesa sijui ni wa wapi jamani? Yani hata kama sio mwana siasa kwakweli kauli kama hii si ya mtu aliye kwenda shule? Pengine hata wasio soma hawawezi kuwa na dharau namna hii?

Nakumbuka alisema huu uwaziri alibembelezwa, pengine ndio maana anasema anavyo jisikia na kuleta dharau kwa watanzania.

Mwanzo nilimuona mtu makini sana lakini tangia mwanzo wa sakata la gas niligindua hana busara na hajui kufikiri kwa kina utafikiri na uprofesa wake alipewa.

Kiongozi makini na mwenye utimamu wa akili lazima ajue kuchagua maneno ya kuongea.

Hizi dharau kwa watanzania sijui ametumwa na nani?

Muongo anachukulia kama watanzania hawana haki kabisa na gas na utafikiri ajui faida ya wazawa kumili vitalu hivyo.!INAWEZEKANA MUONGO UWAZIRI HUU AUTAKI KABISA NA HII NDIO NJIA YA KUUKATAA.
It irritates much.
 
Nikikumbuka kipindi kile napoteza muda wangu kumsikiliza redioni, yaani nasikia hasira sana.
KUMBE ni muongo sijui Muhongo. Haya majina wakati mwengine yanatengeneza tabia aisee!. Jamaa lilikuwa pole kweli, linaongea kwa utaratiiiiibu kumbe lilikuwa linajinadi kwa Rais, duuuh!! aiseeeeeee!!!.
Leo hii kali kama chui, halitaki maswali kabisaaaaaaa,.. Kitu kidogo tu linawaka kama moto wa kifuu.

jamaa ana kauli zinazo kera sana.
 
Mjita akipata madaraka ndio alivyo na akikosa hupenda sana kujipendekeza ref: mwandishi aliekuwa channel 01 mr kifo..
 
  • Thanks
Reactions: PSM
Wamakonde tuliziona kasumba zake za matusi na dharau na kuzisema waz waz,
Mkatupuuza,sasa mmeona alivyopandwa na kiburi anawatukana Watanzania wote sasa.
Nadhan muda utaeleza kila kitu...
 
Mimi mengimhuwa hata simfikiri mzee mchafu kama nini kazi yake kuoa watoto wadogo tu.
 
labda vile wabongo hawawezi toa 10% zikawekwa kule uswisi!
 
Back
Top Bottom