Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

Aiseee huyu profesa sijui ni wa wapi jamani? Yani hata kama sio mwana siasa kwakweli kauli kama hii si ya mtu aliye kwenda shule? Pengine hata wasio soma hawawezi kuwa na dharau namna hii?

Nakumbuka alisema huu uwaziri alibembelezwa, pengine ndio maana anasema anavyo jisikia na kuleta dharau kwa watanzania.

Mwanzo nilimuona mtu makini sana lakini tangia mwanzo wa sakata la gas niligindua hana busara na hajui kufikiri kwa kina utafikiri na uprofesa wake alipewa.

Kiongozi makini na mwenye utimamu wa akili lazima ajue kuchagua maneno ya kuongea.

Hizi dharau kwa watanzania sijui ametumwa na nani?

Muongo anachukulia kama watanzania hawana haki kabisa na gas na utafikiri ajui faida ya wazawa kumili vitalu hivyo.!INAWEZEKANA MUONGO UWAZIRI HUU AUTAKI KABISA NA HII NDIO NJIA YA KUUKATAA.
It irritates much.

Huyu jamaa ukimchunguza kwa undani hadi alipozaliwa lazima utakija na ripoti ya kuogofya.
Huyu bwana atakuwa anamaUgomvi kabambe ya kihistoria katika ukoo wake, yaliodumu miaka mingi bila ufumbuzi. Lazima kutakuwa na m23 ukooni.
Sasa anashindwa kutofautisha anapokuwa kwenye vikao vya migogoro ukooni mwake na anapowasiliana na watanzania kuhusu nchi yao na mali asili zake.
 
Hivi mmesaha ivan illich alishahi kusema kadri mtu anavyo zidi kusoma ndio anavyo zidi kuwa mjinga kama jinsi zikijengwa hospitali nyingi ndio watu wanavyozidi kuugua?
 
Hivi hawa ccm wanatuona sis wapumbavu atuwezi kuwekeza kwenye rasilimali zetu wao wanaona vitalu vya mchicha ndo vinatufaa wakatuachia Maana vitalu vya uwindaji wamewapa vitalu vya mafuta wamewapa vitalu vya madini wamewapa na tenda nyingi wanawapa yaani huyu prof mzima anatukana watanzania bila wasiwasi kweli ccm ni janga bado vitalu vya mchanga na kokoto mtawapa kwa akili za ccm
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.

duh,kiduku hiki..
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.
wewe wa ajabu sana, yaani wageni wachukue rasilimali zetu kwakua "hatuwezi"?? kama wewe unaona hauwezi sio kila mtu hawezi unless wewe na mtu kama mengi muwe munaweza kuongea lugha moja nikimaanisha kiuwezo mnalingana..
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.

Ebu elezea vizuri na ubongo wako usio jaa kisoda
Kivipi watanzania tunashindwa kama sio Muhongo keshavuta kwa BG na wengineo wapitishe bill ile kwetu.
Anacho sema Mengi ni sahihi zitungwe sheria Kabla na watanzania tunaweza.
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.

This is too low for you ndugu yangu.! Unakumbuka hotel ya kilimanjaro walisemaje? Kuna ajenda ya siri inaendelea kwenye ugawaji wa vitalu ikiwapo rushwa na ukusanyaji wa fedha za uchaguzi. Wanaogopa wakiwahusisha watanzania basi siri zitawafikia vyama vingine. Kwa nini wasiseme kuwe na joint investment?
 
We have to respect our own investors.

Duniani kote, nchi zilizoendelea zimefikia hivyo baada ya kujenga mazingira na kuimarisha uwezo wa wananchi wa nchi husika (wazawa) kufikia kiwango cha kuwa wawekezaji wakubwa. Na hiyo inatokana na ukweli kwamba, katika nyanja za Uchumi kuna wakati wawekezaji hawana budi kukaaa na Serikali na kujadili kwa maslahi ya Nchi hata kama kitakachokubaliwa kitawaathiri wawekezaji kwa kiasi fulani (Hili liliwahi kutokea hata Korea baada ya financial crisis ya 1997; company reforms). Katika msingi huu, si rahisi kuzikutanisha subsidiry companies zilizoko Marekani, UK, Russia, China; ni wawekezaji wazawa tu ndio utawafanya hivi.

Vilevile, Nchi ikiwa inamilikiwa na wawekezaji wa nje pekee na wakubwa, Serikali itafikia wakati itashindwa kutekeleza sera au sheria kwa kuwa itaonekana kama inabagua wawekezaji au itakuwa ikishtakiwa mara kwa mara kwani hawa watu wana mitandao mikubwa na ni wataalamu waliobobea katika nyanja zote kutokana na uwezo mzuri walionao wa kuwalipa wataalamu wao worldwide. Lakini vilevile, Makampuni makubwa yakishika uchumi wenu, ni lazima ya-push kutungwa kwa sheria rahisi ya ku-transfer money ambayo itakuwa mwiba kwa Serikali. Kadhalika, makampuni ya nje yapo kwa ajili ya faida, yanapopewa kushika rasilimali ambazo sio renewable, pindipo zikikauka na wenywe huwa wanafanya "suddenly closure" itakayosababisha economic crisis kubwa sana kushindwa kuitetea.

Kutotoa kipaumbele ikiwa pamoja na kuwapa uwezo, kuwathamini na kuwasaidia ikiwa pamoja na kuwadhamini kupata mikopo mikubwa kwa ajili ya kushiriki uwekezaji wa ndani ya nchi yao, ni kosa ambalo litaifanya Tanzania iwe kama ilivyokuwa Afrika Kusini chini ya Makaburu. Na niwaambie ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi. Kwa yeyote anayejua Economic History ataelewa hili, ni kwa kiasi gani UK, US, Canada, Australia, Japan, Korea zemejengeka kwa kuwajenga kiuwezo wawekezaji wao wa ndani. Mlio karibu na Rais hebu, mwambieni hili haraka, kitaalam ni hatari. Profesa Muongo huenda hajui kitu cha namna hii na nashangaa nani anaratibu economia ya uwekezaji katika Rasilimali?

Ni rahisi kuona faida za uwekezaji watu wako, hebu angalia Bakhresa na Mengi namna wanavyosaidia katika ajira na stability ya nchi. Pamoja na mishahara na huduma zao kuwa ni za kada za kati, huwezi kufananisha na Makampuni ya Kigeni ambayo kwao ajira zao ni kidogo, tena zina zaidi ya 3/4 wageni toka nje. Akili gani hii nchi yangu inafanya?????????????. Hatari sana watu wenye mawazo ya Ki-Muhongo-muhongo kwamba "Blacks" hawawezi kufanya mambo ya maana. So sad!


Juhudi za kuongeza Taasisi za elimu ya juu zinazotoa masomo ya biashara kama sasa, hazitakuwa na maana yoyote kama hazitaendana na kujenga uwezo na kuwapa uwezo Kampuni za ndani kuendesha biashara, kuwekeza na hivyo kuajiri wataalamu kutoka vyuo hivyo badala ya kuwaachia wageni ambao watakuja kuleta wataalamu kutoka nchi mwao ambako nako kuna tatizo la ajira. Haya maneno, yatakuja kukumbukwa japo miaka 20 ijayo kwa yatayomkuta Rais wa kipindi hicho wa Tanzania. The Big-Show, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Wamakonde tuliziona kasumba zake za matusi na dharau na kuzisema waz waz,
Mkatupuuza,sasa mmeona alivyopandwa na kiburi anawatukana Watanzania wote sasa.
Nadhan muda utaeleza kila kitu...

Kula like ya manual mkuu, ya automatic Invisible ameificha!
 
Last edited by a moderator:
wewe wacha ongea upuuzi hapa,
sasa ulitaka alalamikie wapi watu wamsikie, na sio kwamba ana own media tu la hasha, pia ni mwenyekiti wa tspf ndio maana imebidi aseme huo upuuzi baba ako muhongo alousema ili kila mtu asikie,
watu wengine bana, si mtumie vichwa kufikiri b4 posting.

Huyu Mengi alishawahi kuibuka na issue ya mafisadi papa!Jiulize iliishaje?
 
Ebu elezea vizuri na ubongo wako usio jaa kisoda
Kivipi watanzania tunashindwa kama sio Muhongo keshavuta kwa BG na wengineo wapitishe bill ile kwetu.
Anacho sema Mengi ni sahihi zitungwe sheria Kabla na watanzania tunaweza.
Hebu nitajie hao watanzania wanaoweza!kama sio unaongelea maslahi ya Mengi na genge lake.
 
moooooooooooods mmekiweka wapi kibonyezeo cha like?????????????????????????????????????
agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.
 
kuna mambo mengi sana ya kujiuliza hapa, kwanza kwa nini Mengi hugombana na mawaziri kutoka kwa Masilingi, Masha na sasa Muhongo? Je Mengi amasema Muhongo ajibu hoja badala ya kukimbilia vitalu je vitalu sio hoja, point hapa kila mtu ajibu hoja mmoja ajibu ya vitalu mwingine ajibu ya kashfa.
 
Duniani kote, nchi zilizoendelea zimefikia hivyo baada ya kujenga mazingira na kuimarisha uwezo wa wananchi wa nchi husika (wazawa) kufikia kiwango cha kuwa wawekezaji wakubwa. Na hiyo inatokana na ukweli kwamba, katika nyanja za Uchumi kuna wakati wawekezaji hawana budi kukaaa na Serikali na kujadili kwa maslahi ya Nchi hata kama kitakachokubaliwa kitawaathiri wawekezaji kwa kiasi fulani (Hili liliwahi kutokea hata Korea baada ya financial crisis ya 1997; company reforms). Katika msingi huu, si rahisi kuzikutanisha subsidiry companies zilizoko Marekani, UK, Russia, China; ni wawekezaji wazawa tu ndio utawafanya hivi.

Vilevile, Nchi ikiwa inamilikiwa na wawekezaji wa nje pekee na wakubwa, Serikali itafikia wakati itashindwa kutekeleza sera au sheria kwa kuwa itaonekana kama inabagua wawekezaji au itakuwa ikishtakiwa mara kwa mara kwani hawa watu wana mitandao mikubwa na ni wataalamu waliobobea katika nyanja zote kutokana na uwezo mzuri walionao wa kuwalipa wataalamu wao worldwide. Lakini vilevile, Makampuni makubwa yakishika uchumi wenu, ni lazima ya-push kutungwa kwa sheria rahisi ya ku-transfer money ambayo itakuwa mwiba kwa Serikali. Kadhalika, makampuni ya nje yapo kwa ajili ya faida, yanapopewa kushika rasilimali ambazo sio renewable, pindipo zikikauka na wenywe huwa wanafanya "suddenly closure" itakayosababisha economic crisis kubwa sana kushindwa kuitetea.

Kutotoa kipaumbele ikiwa pamoja na kuwapa uwezo, kuwathamini na kuwasaidia ikiwa pamoja na kuwadhamini kupata mikopo mikubwa kwa ajili ya kushiriki uwekezaji wa ndani ya nchi yao, ni kosa ambalo litaifanya Tanzania iwe kama ilivyokuwa Afrika Kusini chini ya Makaburu. Na niwaambie ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi. Kwa yeyote anayejua Economic History ataelewa hili, ni kwa kiasi gani UK, US, Canada, Australia, Japan, Korea zemejengeka kwa kuwajenga kiuwezo wawekezaji wao wa ndani. Mlio karibu na Rais hebu, mwambieni hili haraka, kitaalam ni hatari. Profesa Muongo huenda hajui kitu cha namna hii na nashangaa nani anaratibu economia ya uwekezaji katika Rasilimali?

Ni rahisi kuona faida za uwekezaji watu wako, hebu angalia Bakhresa na Mengi namna wanavyosaidia katika ajira na stability ya nchi. Pamoja na mishahara na huduma zao kuwa ni za kada za kati, huwezi kufananisha na Makampuni ya Kigeni ambayo kwao ajira zao ni kidogo, tena zina zaidi ya 3/4 wageni toka nje. Akili gani hii nchi yangu inafanya?????????????. Hatari sana watu wenye mawazo ya Ki-Muhongo-muhongo kwamba "Blacks" hawawezi kufanya mambo ya maana. So sad!


Juhudi za kuongeza Taasisi za elimu ya juu zinazotoa masomo ya biashara kama sasa, hazitakuwa na maana yoyote kama hazitaendana na kujenga uwezo na kuwapa uwezo Kampuni za ndani kuendesha biashara, kuwekeza na hivyo kuajiri wataalamu kutoka vyuo hivyo badala ya kuwaachia wageni ambao watakuja kuleta wataalamu kutoka nchi mwao ambako nako kuna tatizo la ajira. Haya maneno, yatakuja kukumbukwa japo miaka 20 ijayo kwa yatayomkuta Rais wa kipindi hicho wa Tanzania. The Big-Show, Nguruvi3

Ni ulevi tu wa madaraka.
Ni bahati mbaya sana kwamba katika Nchi mtu kiongozi yeyote anaweza kusema lolote hata kama lina athari.
Hawa akina Mengi, Bakheresa n.k si wanafunzi wa biashara, ni mahiri kwa viwango vya kimataifa, kinachotakiwa ni
kuwapa fursa ya kuongeza ujuzi zaidi wa biashara ya gesi na mafuta kwa kuwapa fursa.
 
Duh majanga
Hivi haiwezekani kuweka zuio la kimahakama ili mnada wa vitalu usiendelee mpaka tuwe na sera ya gesi?
Wataalam wapi uzalendo?
 
This is too low for you ndugu yangu.! Unakumbuka hotel ya kilimanjaro walisemaje? Kuna ajenda ya siri inaendelea kwenye ugawaji wa vitalu ikiwapo rushwa na ukusanyaji wa fedha za uchaguzi. Wanaogopa wakiwahusisha watanzania basi siri zitawafikia vyama vingine. Kwa nini wasiseme kuwe na joint investment?

siamini kama hata wewe umesombwa na mafuriko ya usanii wa Mengi.Akipewa huwa haongei!
 
wewe wa ajabu sana, yaani wageni wachukue rasilimali zetu kwakua "hatuwezi"?? kama wewe unaona hauwezi sio kila mtu hawezi unless wewe na mtu kama mengi muwe munaweza kuongea lugha moja nikimaanisha kiuwezo mnalingana..

Uwe unasoma nilichoandika kabla ya kukurupuka na majibu yako ya kishabiki.
Nimesema suluhisho 'ni kama alivyotuasa hayati baba wa taifa'
sasa kama hujui baba wa taifa alishauri nini kuhusu rasilimali zetu nakupa pole.
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.

Sema Muhongo, wewe na ukoo wako hamna uwezo, usiwasemee watanzania wote!!
 
Mengi anaendelea kumpa maneno yake muhongo tweeter,,,,
mbona atakoma,,,,
 
Back
Top Bottom