Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

Muongo Vs. Mengi. Kimenuka !

wewe wacha ongea upuuzi hapa,
sasa ulitaka alalamikie wapi watu wamsikie, na sio kwamba ana own media tu la hasha, pia ni mwenyekiti wa tspf ndio maana imebidi aseme huo upuuzi baba ako muhongo alousema ili kila mtu asikie,
watu wengine bana, si mtumie vichwa kufikiri b4 posting.
 
Huyo mhongo kweli mhongo. Mimi nilikuwa msikilizaji wa kipindi chake TBC radio. Alikuwa anazungumzi masuala ya madini nchini kwa kweli alikuwa anaongea vizuri, Wakati mwingine alikuwa anaikosoa serikali kwa namna fulani jinsi alivyokuwa anaongea. Alikuwa mtu wa kuililia hii nchi kwa kweli. KUMBE ZILE ZILIKUWA NJAA, LEO NA YEYE ANAFANYA MAMBO YALEYALE. Nimeamini CCM wote Wezi, Ukoo wa Panya.
 
Awww Hapa wote wamekosea kusema kweli tuache utani mh mengi kujifanya kwamba sisi watanzania tuna 100m usd na zaidi kufanyia utafiti tu wa mafuta huu ni utafiti mnaweza fika chini hamna kitu ni kudanganyana sio watanzania wengi wenye huu uwezo lakini pia huyu prof kutoa majibu Kama haya sio vizuri mengi ana tabla ya Kwenda kwenye vyombo vya habari yaaani ni la vile mwalimu mkuu basi akitangaza shule nzima isikilize suluhisho ni hawa watu kukaa pamoja naamini bongo kuna watu wana bilioni 2/3 pengine hadi bil 10 wakikusanywa hawa wakaundiwa kampuni au serikali ikawaalika wananchi kununua hisa ili kupata mtaji am pretty sure hizo hela zitapatikana lakini sio kubishana ili kila mmoja ajione ye zaidi yaaani hawa watu hawana washauri ? Pumbaf Kabisa
 
Huyo muhongo kweli muongo. Mimi nilikuwa msikilizaji wa kipindi chake TBC radio. Alikuwa anazungumzi masuala ya madini nchini kwa kweli alikuwa anaongea vizuri, Wakati mwingine alikuwa anaikosoa serikali kwa namna fulani jinsi alivyokuwa anaongea. Alikuwa mtu wa kuililia hii nchi kwa kweli. KUMBE ZILE ZILIKUWA NJAA, LEO NA YEYE ANAFANYA MAMBO YALEYALE. Nimeamini CCM wote Wezi, Ukoo wa Panya.
 
Huyu muhongo ni mpuuuzi kabisa, ila na sisi waTz tumezidi uzuzu, hivi ni kitu gani kinachotufanya tushindwe kuwatoa ccm madarakani?
 
CCM ni chama hatari sana kwa ustawi wa akili za watanzania. Tangu Mwalimu nyerere aage Dunia, kila anaejiunga na CCM akili zinamruka, anapoteza uwezo wa kufikiri na hawezi kufikiri vizuri tena. Awe Profesa au Daktari au Mhandisi wote ni sawa na watoto wa CHEKECHEA. Hata Mheshimiwa Mchungaji Msigwa alishawambia Bungeni lakini hawataki kubadilika. Na hawatabadlika kwa sababu enzi za mwalimu zimepita. Mwalimu aliwaita na kuwarudisha kwenye mstari, Je leo nani kama mwalimu? Jibu ni hakuna! Mtu mmoja, tena mtanzania anapowadharau watanzania wenzake wote, tunapata wasiwasi na utanzania wake. Kama watanzania hawana uwezo wa kuwekeza katika gesi na hawezi kuaongea nao, je, yeye muhongo ni nani, na kama ni mtanzania uwezo wa kuongelea maswala ya gesi na madini pamoja na rasilimali zingine ameutoa wapi? Acha tabia ya kuwadharau Watanzania. Usifananishe Watanzania na familia au ukoo wako.
 
Reginald-Mengi-kuhusu-Muhongo-kumsambazia-taarifa-za-uongo.png


Muhongo ataleta machafuko humu nchini na kauli zake chafu za uropokaji...........Anadai hawezi kuongea na watanzania kwenye mambo ya uwekezaji kwenye gesi kwa sababu watakuwa wanapoteza muda wake.....!

Tunahitaji watu kama Mengi kutusaidia kuweka mambo sawa, Muhongo seems to be very stupid na mwenye dharau kubwa kwa watanzania
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.
krap kabisa hii

You cant let outsiders run these shows, it is the responsibility of the government to build local ownership na sio kusema sisi hatuwezi.... if that is the case what is the use of his education??

Imbechili at work
 
wewe wacha ongea upuuzi hapa,
sasa ulitaka alalamikie wapi watu wamsikie, na sio kwamba ana own media tu la hasha, pia ni mwenyekiti wa tspf ndio maana imebidi aseme huo upuuzi baba ako muhongo alousema ili kila mtu asikie,
watu wengine bana, si mtumie vichwa kufikiri b4 posting.
 
Hauko pekee yako Mkuu, na huyu alipoteuliwa kwenye hiyo nafasi tukaambiwa kwamba ni kichwa sana kumbe hana tofauti yeyote ile na his predecessor Ngeleja. Madudu yale yale yanaendelea na kauli za kejeli dhidi ya Watanzania.

BAK naipenda Tanzania ila nawachukia viongoz wake to the extrem
 
Ndio nini toa maelezo vizuri tukuelewe

Pumba! Kama huwezi kusoma na kuelewa kilichoandikwa kamuulize Muhongo na Nape. Mnarefusha na kuchonga midomo kwa kutusi wapinzani kumbe hamnazo.!!! Hii mada imekufichua.
 
I sometimes I dont really understand you JF members, when the tangible matters and things that changes community life in general, you all just run away from it. This is veryx5000 important, I want to see some really comments here by dawn. It can't be, nani anataka dharau, eti tanzanians can on invest on fruit processing, I DONT AGREES 1000000%, we can do a lot with our ability, motivation,commitment and for our Nation,
Au ndo vile tena, BUS LA KICHINA, DEREVA MCHINA, KONDA A CHINESE AND THE MECHANIC IS CHINESE.

MLACHAKE, THE BOSS, AND all Economical related personell Re needed here.
Waiting!!!!

kiukweli mburula wote wa ccm hawatatia mguu kwenye uzi huu. Watz tunadhalilishwa na mengi tufanyayo wenyewe!
 
Tatizo bw. Mengi hukimbilia media na wananchi anaposhindwa kushawishi juu ya mambo yake ya kibiashara.

I support Muhongo kwamba watanzania hatuna uwezo.....suluhisho sio kuwapa wageni bali ni kama alivyotuasa baba wa Taifa!
Mengi na kundi lake waache ulaghai.

Kwani mengi atapewa bure? au atakuwa halipi kodi? rudi shule kapunguze ujinga na mawazo yako mgando
 
Hao ndio CCM! tunafanya nini kuhakikisha hawarudi tena 2015 hilo ndilo swali tunapaswa kujiuliza sasa.
 
Reginald-Mengi-kuhusu-Muhongo-kumsambazia-taarifa-za-uongo.png


Muhongo ataleta machafuko humu nchini na kauli zake chafu za uropokaji...........Anadai hawezi kuongea na watanzania kwenye mambo ya uwekezaji kwenye gesi kwa sababu watakuwa wanapoteza muda wake.....![/QUO

Huwa namheshimu na kumpenda sana Mengi kwa misaada yake kwa watu masikini. Ingawa linapokuja suala la uwekezaji ni kama huwa anataka attention fulani au kuonewa huruma. Maana ana record ya kukwaruzana na Mawaziri wengi. Sijui tatizo lake huwa ni nini?
 
Duuuh!sijui huyo ni chura mzee au vipiKuna umbeaa hapo!!
 
'Nchi yetu kwa sasa ina ukame wa Rasilimali akili sio rasilimali Watu'-Ndugu Benjamin William Mkapa, ili uweze kuendesha Research ya kitalu kimoja gharama yake ni Dola Million miamoja, Tuache kulalamika akili ya kuendeleza vyama vya ushirika tulivoachiwa vikiwa Imara hatuna tutakuwa na akili ya kuanzisha, kusimamia na kuendeleza Vitalu vya utafutaji gesi? Hao wanaokuja kuwekeza kwenye gesi mitaji wameitoa kwenye kilimo sie tunataka kula denge la maisha hilo haipo!
 
Hauko pekee yako Mkuu, na huyu alipoteuliwa kwenye hiyo nafasi tukaambiwa kwamba ni kichwa sana kumbe hana tofauti yeyote ile na his predecessor Ngeleja. Madudu yale yale yanaendelea na kauli za kejeli dhidi ya Watanzania.

Ndugu, huyo muhongo alikuwa ni mtumishi (mtafiti) wa wizara hiyo, alikuwa mkweli saaana na alikuwa anakipindi TBC radio. Ngeleja alikuwa hampendi mno kwani alikuwa anaweka kila kitu bayana kuhusu madini nchi nzima yaani alikuwa hafichi kitu. Hicho anacho kikataa leo, yeye alikuwa anakishauri jinsi ya kukitelekeza. Kwa masikio yangu mimi nilikuwa namsikia akizungumza haya. Muhongo alivutia watu wengi sana kwa jinsi alivyokuwa anazungu na kuishauri serikali. Ngeleja alikuwa hampendi kwa kuwa bwana Muhongo alikuwa anayaweka mambo yote bayana hivyo kuhatarisha ulaji. Muhongo alikuwa anagawa namba zake za simu redioni kwa yeyote aliyetaka kujua kuhusu masuhala ya madini amuulize. Ngeleja na Muhongo walikuwa mahasimu wakubwa. Ngeleja akamhandalia zengwe, kabla mambo ayajajipa mara gafla kibao kikageuka, Rais akamteuwa Muhongo kushika nafasi ya Ngeleja.
Watu sasa tukajua mpinga ufisadi kaingia kazini, sasa mambo yataenda saaafi kwa umakini, kumbe wapiiii... Yeye ndio nyangumi kabisaaa... kelele za mwanzoni ilikuwa msukumo wa njaa na utapia mlo tu. LEO anajipinga mwenyewe alivyowai kuvipendekeza kutoka kinywani mwake akiwa redioni.
Waliokuwa wakivisikiliza vipindi vyake TBC radio enzi zile watakubaliana na mimi. NASEMA HIVI, NI KWELI CCM NI CHAMA CHA KISHIRIKINA, HATA KAMA UKIWA MSAFI VIPI, UKIINGIA TU HALMASHAURI KUU/ KAMATI KUU, UNAKUWA FISADI LA KUTUPA. Jamaa ndio hivyo tena nae leo hii sio mwenzetu.
 
Back
Top Bottom