Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
Ulichokiandika hukijui, nenda kafanye utafiti zaidi, hakuna ukweli kabisa, kuna mengi yamefichika
Mbona ameeleza sahihi, hakijui vipi? Labda wewe ndio hujui lakini huyu crabat yuko sahihi, tena sio Raslimali, hata kampuni kubwa za ujenzi UAE ina sehemu kubwa ya hisa za Serikali(yaani ni ya serikali kwa kifupi). Kampuni za kutoka nje lazima zishirikiane na kampuni ya Serikali ndipo ziwe na uwezo wa kushinda tenda na kujenga. Mna wataalamu wabovu na waroho wa kutafsiri makubaliano ya Kimataifa na hivyo mnajikuta kila kitu mnaenda chaka tu. Si jambo la ushabiki hili ndugu yangu, Africa haina cha kujivunia cha kuwaletea maendeleo zaidi ya rasilimali zao suala la kujenga uwezo kwa wananchi wa ndani lisipuuzwe hata kidogo wala siyo suala la vyama.
Last edited by a moderator: