Muonekano mpya wa King Zilla unatia huruma

Muonekano mpya wa King Zilla unatia huruma

Mbona yuko fresh tu miaka inaenda na maisha yanabadilika
 
Huu muonekano mpya Wa king zila unatia huruma sana aisee View attachment 885063
Kuvaa Gucci loui vee usihic mi ni sharobaro, so fake Mc nmetoka kwenye freestyles battle
Kwa hizi style son mtaani I got be da best, Usini' diss kwenye bedding sun battle mi face to face

Wananiitaga King Zilla, sicheki na mtu son kwa' sabu mi always ni killer
Si mwengine ni drug dealer
And here i am man, Yes I'm a killer
Ku' make up, Ku' break up is so easy my man
Ku' smoke up, dats what's up, Ku' speed up your brain
Ku' get money, Ku' spend some, Ku' pop pop champagne
Usiniguse i'm a hustler n' u get that my man
Me na back up again, mi naishi Sala sala, ukini' diss Jf its fine ila nakuona tu fala

Kwa niaba ya King Zilla, ukim' diss nakuchana tu hata niwe napumulia mipira.
 
Hivi viatu huwa haviachi yani huku salasala magengeni tunamchora tu jamaa
I don't care who you are, hata kama ukin' diss me
Still I got love to ma fans who are with me
Na bado nipo fiti, heshima zimejaa tele milele nitaendelea kuzidhibiti,, yoo

Jf z on, jf z cool
Still ntaendelea kutajika kama jina la maguful
Hapo sawa, kunywa kahawa
Haina haja ya kupagawa kama kawa nawaumiza kisha nawapa dawa.
Na holla
Kwa yeyote anayejihisi ye ni fala
Unga tela la mapinduzi salute kwa Che Guevara

Kwa niaba ya King zilla. Shabiki yake hapa namjibia.
 
I don't care who you are, hata kama ukin' diss me
Still I got love to ma fans who are with me
Na bado nipo fiti, heshima zimejaa tele milele nitaendelea kuzidhibiti,, yoo

Jf z on, jf z cool
Still ntaendelea kutajika kama jina la maguful
Hapo sawa, kunywa kahawa
Haina haja ya kupagawa kama kawa nawaumiza kisha nawapa dawa.
Na holla
Kwa yeyote anayejihisi ye ni fala
Unga tela la mapinduzi salute kwa Che Guevara

Kwa niaba ya King zilla. Shabiki yake hapa namjibia.
Mbona hakuna swali hapo umejibu nini sasa hio ilikua ni taarifa tu

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Hivi viatu huwa haviachi yani huku salasala magengeni tunamchora tu jamaa
Ulichokiandika hapo juu ni nini? Mwenye uelewa wa taaluma ya maana anajua hiyo ni taarifa ya namna gani.
 
Zilla zilla zilla(in joti voice).

Mbona yuko fresh tu king mzee wa low cut from salasala
 
I don't care who you are, hata kama ukin' diss me
Still I got love to ma fans who are with me
Na bado nipo fiti, heshima zimejaa tele milele nitaendelea kuzidhibiti,, yoo

Jf z on, jf z cool
Still ntaendelea kutajika kama jina la maguful
Hapo sawa, kunywa kahawa
Haina haja ya kupagawa kama kawa nawaumiza kisha nawapa dawa.
Na holla
Kwa yeyote anayejihisi ye ni fala
Unga tela la mapinduzi salute kwa Che Guevara

Kwa niaba ya King zilla. Shabiki yake hapa namjibia.

Hizi ndiyo shida za kumwiga 50cent,
stress zitakuuwa hauna hata sent ya kulipa rent,
kama mziki umekushinda jaribu hata kubet
wasanii wa bongo mkipata hela mnananua tu makreti
hamkumbuki kuweka saving kwenye akaunti za benk
 
Hizi ndiyo shida za kumwiga 50cent,
stress zitakuuwa hauna hata sent ya kulipa rent,
kama mziki umekushinda jaribu hata kubet
wasanii wa bongo mkipata hela mnananua tu makreti
hamkumbuki kuweka saving kwenye akaunti za benk
No stress no hofu feeling, nipo kwenye right track mi ndo yule bonge la sterling
Na cheki, nipo fiti yani nipo kijeshi, mpunga umejaa ukihitaji nakupatia hata cash
So uc' panic bwana mdogo ukioniona nashusha kreti, na kama kawa afta party huwa nashusha sketi.....

Yo,, its all about swagg, 50 cent copy bado mbish nazi' hug
Tungi all day money zipo kwenye bag
Weed kama kawa, yes maisha ya ki' thug....... Yoo
The real MC, naienzi fasihi, misingi ya kiuhakika salute kwa Nash Mc
Na bado nahitajika kwenye jamii, mziki haujanitupa na hakuna wa kun' stop me

Kudadeki ni msemo wa Joti, maneno ya shombo ndiyo cfa ya Mpoki
Ligi uliyoichokoza wewe zombie
hautoki, Jiwe mwenyewe anasubiri, yani kwangu ana float
Rudi kwenu ukachunge Mbuzi, kuandika vina hauwezi c tunanukia marashi we zombie unanukia Ushuzi
Na I'm sorry, fani inayokufaa ni ya kuuza midori, na ikikushinda nenda kauze hata pipi za ivory
 
No stress no hofu feeling, nipo kwenye right track mi ndo yule bonge la sterling
Na cheki, nipo fiti yani nipo kijeshi, mpunga umejaa ukihitaji nakupatia hata cash
So uc' panic bwana mdogo ukioniona nashusha kreti, na kama kawa afta party huwa nashusha sketi.....

Yo,, its all about swagg, 50 cent copy bado mbish nazi' hug
Tungi all day money zipo kwenye bag
Weed kama kawa, yes maisha ya ki' thug....... Yoo
The real MC, naienzi fasihi, misingi ya kiuhakika salute kwa Nash Mc
Na bado nahitajika kwenye jamii, mziki haujanitupa na hakuna wa kun' stop me

Kudadeki ni msemo wa Joti, maneno ya shombo ndiyo cfa ya Mpoki
Ligi uliyoichokoza wewe zombie
hautoki, Jiwe mwenyewe anasubiri, yani kwangu ana float
Rudi kwenu ukachunge Mbuzi, kuandika vina hauwezi c tunanukia marashi we zombie unanukia Ushuzi
Na I'm sorry, fani inayokufaa ni ya kuuza midori, na ikikushinda nenda kauze hata pipi za ivory

kwa kujisifu na msivyo navyo hata mimi siwawezi,
unakaa salasala lakini unashinda mbezi,
kingereza unaungaunga tu kwenye verse kinachokubeba labda bezi,
mambo unayolopoka utazani labda crazy,
 
kwa kujisifu na msivyo navyo hata mimi siwawezi,
unakaa salasala lakini unashinda mbezi,
kingereza unaungaunga tu kwenye verse kinachokubeba labda bezi,
mambo unayolopoka utazani labda crazy,
Hahahah...umenifurahisha
 
No stress no hofu feeling, nipo kwenye right track mi ndo yule bonge la sterling
Na cheki, nipo fiti yani nipo kijeshi, mpunga umejaa ukihitaji nakupatia hata cash
So uc' panic bwana mdogo ukioniona nashusha kreti, na kama kawa afta party huwa nashusha sketi.....

Yo,, its all about swagg, 50 cent copy bado mbish nazi' hug
Tungi all day money zipo kwenye bag
Weed kama kawa, yes maisha ya ki' thug....... Yoo
The real MC, naienzi fasihi, misingi ya kiuhakika salute kwa Nash Mc
Na bado nahitajika kwenye jamii, mziki haujanitupa na hakuna wa kun' stop me

Kudadeki ni msemo wa Joti, maneno ya shombo ndiyo cfa ya Mpoki
Ligi uliyoichokoza wewe zombie
hautoki, Jiwe mwenyewe anasubiri, yani kwangu ana float
Rudi kwenu ukachunge Mbuzi, kuandika vina hauwezi c tunanukia marashi we zombie unanukia Ushuzi
Na I'm sorry, fani inayokufaa ni ya kuuza midori, na ikikushinda nenda kauze hata pipi za ivory
Wanahiphop mnajushaua sana..kiukweli Hamna maana
Asilimia 90 wote mmefeli
Kwenye reli wote mmetoka kwa kweli
Akili zenu nyote sifuri
Na hiki kipindi cha magufuli mtanyooka itawaisha yote jeuri

Mwaka huu lazima muwe mashoga
Na wabana pua lazima watawagonga
Maana hamna kitu mmebaki kama bisu butu hamtakiwi na watu. Hata show hampati mnajifanya mnaparty pambaavu acheni kujishaua ka mabinti nyie maiti
mmebaki kula maunga maisha yenyewe mnaungaunga

Nyambafu et hasla....hasla mavi
Et drug dealer drug dealer govi??


Acha kujishaua wakati huna kitu we nyau
Mwishowe utajiua na mastress ya kindau
Na tumeshakujua badilika wewe nyau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom