Muonekano mpya wa King Zilla unatia huruma

Muonekano mpya wa King Zilla unatia huruma

Labda Yuko kwenye high and prolonged dose ya prednisone kama 60mg/day
 
Yeye mwenyewe aliimba, nabadilika sana, jinsi nilivyo watu Wana blow king zila ni balaa
Alisema, Anabadilika sana, cause he is the best, walifikiri atakufa baada ya accident" hichi nacho tunaweka kwenye memory, baada ya miaka 10 sio rahisi yy ku write history"
 
Mleta uzi punguza majungu, huo muonekano wake unatia huruma gani? Mbona yupo normal tu
 
Unga umemtafuna hadi huruma,wasanii wa Hiphop Bongo sijui kwanini wanakuaga na mambo haya[emoji86] [emoji86] [emoji86]
Si wananfuata kila kitu kwa akina 50 Cents,hawaigi pesa wanaiga matumizi! Umarekani mwingi yoyoyo nyingi huku anakula ngada,chid alikuwaga anapiga watu kama Hana akili nzuri naw kaufyata,nusu duniani nusu kuzimu Kanye West bado anakula dunia
 
sasa anachotia huruma kitu gani hapo labda..zilla alianza kunenepeana ovyo na ule mwili mnene haumpendez kabisa anapga sana tizi ssaiv na diet ndo maana wamuona hivo
Mkuu mtu mwembamba kwa ajili ya mazoezi utamjua tuu na mwembamba kwa ajili ya kuumwa nk utamuona tuu,sasa tizi unavimbaje mashavu na unakua mweusi kama lami ya chato,mkuu basi hayo mazoezi aache
 
Lazima tuifundishe jamii yetu, kua mnene sio kipimo cha afya bora..

Acha unafki uende mbinguni
 
Duh!! To be honest mie simjui ni nani huyu jamaa na pia sijui kabadilikaje?
Dogo tuwekee picha ya zamani ili tuyaone hayo mabadiliko unayosema
 
curtis wa bongo .....

aliniachaga room number 69 college days...

one of the smartest rapers kwenye game la bongo

alianza kupotea baada ya break up yake na doreen andrew.... (dee andy)

sidhan kama ni madawa itakuwa ni ishu nyingine tu iliyomfanya awe hivyo

wiki chache nyuma nilikutana naye and he sounds ok....
 
Wasanii wa Tanzania kama hawatakuwa makini basi historia yao itaandikwa kwa mabaya mengi.
 
Iyo picha ukicheki vizuri Kama wote wamevimba mashavu IV mpaka lilomy mwenyew, lakina nimecheki video y hiyo interview jamaa yupo pouwa tu....
 
Si wananfuata kila kitu kwa akina 50 Cents,hawaigi pesa wanaiga matumizi! Umarekani mwingi yoyoyo nyingi huku anakula ngada,chid alikuwaga anapiga watu kama Hana akili nzuri naw kaufyata,nusu duniani nusu kuzimu Kanye West bado anakula dunia
uyo zilla maneno maneno tu ata bangi yenyewe sjui kama anavuta.jamaa mtu wa low life alaf hanaga mambo mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom