Munishi aishiwa uvumilivu, Atoa ushauri kwa Rais.

Munishi anasumbuliwa na chuki binafsi dhidi ya dini ya kiislamu. Nakumbuka hata enzi za msoga alimsumbua sana baada ya kuja jiwe(mkiristo) akapotea. Ameingia Samia(muislamu) ameibuka upya. Dawa ya huyu pimbi ni albadil tu maana akichekewa atasumbua sana kama alivyomsumbua mzee jakaya na baadae kukimbilia kenya
 
Kaongea upumbavu wa mwisho

Mbona rais anavaa suruali…. Huo ndio uislamu? Tukianza kumpangia rais mavazi tunakosea

Tusifike huku please…. Kujiwasilisha kama Muslim woman is not a crime anywhere

Wengine Kwa ujambazi walioufanya walitakiwa wawe jela
Umenena vema Mkuu
 
Wakristo hua hatuna hizi perepeche. Ameamua kuvaa hijab avae, mavazi yake hayana uhusiano wa moja kwa moja na uwezo wake wa kuongoza.

Halafu kukashifu upishi wa vitumbua. Ushwahili, uswahilini mimi naona ana shida zaidi ya hijab za madame president
 
HUYO MSHAURI WA MAREBO YAFAA AAMBIWE KUWA MARAIS WOTE WALIOTANGULIA WALIKUWA NA IMANI ZAO! JAPO SERIKALI HAINA DINI! KAMA AMBAVYO YEYE MUIMBIA MALEBO ANA IMANI YAKE !
 
Munishi anasumbuliwa na chuki binafsi dhidi ya dini ya kiislamu. Nakumbuka hata enzi za msoga alimsumbua sana baada ya kuja jiwe(mkiristo) akapotea. Ameingia Samia(muislamu) ameibuka upya. Dawa ya huyu pimbi ni albadil tu maana akichekewa atasumbua sana kama alivyomsumbua mzee jakaya na baadae kukimbilia kenya
Kuna mtu alisomewa mpaka leo anadunda!
 
Kimsingi wanawake wote wanatakiwa wajistiri kama huyu Chief Hangaya anavyofanya ndio mafundisho ya Biblia yanavyotaka.

Hata wale Watawa Masista huwezi kuona wameacha nywele zao wazi ni lazima wavae vilemba kujistiri.

Mimi ni Mkristo sikubaliani na Munishi katika hili, huenda huyu jamaa huwa anachoma bangi kidogo.

Ndio maana hata hii Taliban mpya mpaka sasa naona wako sawa hakuna wanaponyanyasa wanawake bali utaratibu ufuatwe na hakuna mambo ya 50 kwa 50 huo siyo mpango wa Mungu ni sera za kijinga kabisa.
 
Back
Top Bottom