USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Huyu jambazi na tapeli wa kale naye anashauri siasa amecha kumuimbia marebo
USSR
Huyu jambazi na tapeli wa kale naye anashauri siasa amecha kumuimbia marebo
Who knows?Hayupo humu mfate fb ndio anatema nyongo zake huko
Anataka avae kama Condoleezza Rice
Katoa boko ndani ya 18Katika wachungaji/maaskofu/mapadri na viongozi wote wa kikristu nilikuwa nakukubali sana Bwana Malebo ila kwa hili BOKO la leo ulilotoa nimekupuuza hasa!
Anataka aone masikio labda kama amevaa earpiece, Munishi anahisi muheshimiwa anaweza akawa anasaidiwa kuongea halafu sisi hatuji... 😁Kuna kitu anataka kuona
Umenena vema MkuuKaongea upumbavu wa mwisho
Mbona rais anavaa suruali…. Huo ndio uislamu? Tukianza kumpangia rais mavazi tunakosea
Tusifike huku please…. Kujiwasilisha kama Muslim woman is not a crime anywhere
Wengine Kwa ujambazi walioufanya walitakiwa wawe jela
Kuna mtu alisomewa mpaka leo anadunda!Munishi anasumbuliwa na chuki binafsi dhidi ya dini ya kiislamu. Nakumbuka hata enzi za msoga alimsumbua sana baada ya kuja jiwe(mkiristo) akapotea. Ameingia Samia(muislamu) ameibuka upya. Dawa ya huyu pimbi ni albadil tu maana akichekewa atasumbua sana kama alivyomsumbua mzee jakaya na baadae kukimbilia kenya
Kimsingi wanawake wote wanatakiwa wajistiri kama huyu Chief Hangaya anavyofanya ndio mafundisho ya Biblia yanavyotaka.
Inategemea na usafi wa msoma Albadiri, fuatilia Albadiri iliyosomwa kwa waliopanga na kutekeleza jaribio la kumuuwa Tundu Lisu wako wapi?Kuna mtu alisomewa mpaka leo anadunda!