mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,142
- 5,634
Aache upumbuvu, hata akitembea na magunia hilo halituhusu! Tunachohitaji watanzania ni maendeleo!
Hospitali zina dawa? Vijijini huduma za afya zinafika?
Shule zina vitendea kazi? Walimu wapo?
Barabara zinapitika? Wakulima wanapata pembejeo?
Watumishi serikalini wanapata haki zao?
Wafanyabiashara wanafanya biashara zao kwa uhuru?
Katina inafuatwa?
Tanzania ina utulivu na Amani!
Gurudumu la maendeleo kwa ujumla linaendelea?
Unatuletea mambo ya suti hapa, Mtanzania atakula suti?
Akili za watu wengine sijui wanaziachaga wapi, upuuzi mtupu☹️☹️☹️☹️
Hospitali zina dawa? Vijijini huduma za afya zinafika?
Shule zina vitendea kazi? Walimu wapo?
Barabara zinapitika? Wakulima wanapata pembejeo?
Watumishi serikalini wanapata haki zao?
Wafanyabiashara wanafanya biashara zao kwa uhuru?
Katina inafuatwa?
Tanzania ina utulivu na Amani!
Gurudumu la maendeleo kwa ujumla linaendelea?
Unatuletea mambo ya suti hapa, Mtanzania atakula suti?
Akili za watu wengine sijui wanaziachaga wapi, upuuzi mtupu☹️☹️☹️☹️