DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,586
- 17,699
Katika ulimwengu huu na miaka hii ambapo patience intertwines with the passions, muda mwingi tunatamani kusikia yale tu tunayoyapenda kutoka kwa watu, na hata kuna yale tusiyoyatamami mtu ayasikie tunapoona yanasikika tunakosa uvumilivu, muda mwingi tunatamani kuyaondoa mawazo hayo lakini bad enough hatuna uwezo huo!
kibaya ni kwamba tunapokuwa na Uwezo wa kufanya hivyo tunajitahidi sana mambo hayo yasifike kwa jamii na tunatumia njia zote kudhibiti sio tu yasifike bali yatakayofika ni yale tu tunayotamani yawe huru kusikika na watu ili kuzidi kuwapumbuza.
Buddha kuna muda aliwahi kusema "Patience is key. Remember: An angry person is always ugly, whether on the inside or the outside."
Sio tu Buddha hata kwa Wakristo, Yesu pia aliwahi kutuonyesha Subira ndio kila kitu, Luka 21:19 "Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu".
Na hata katika Quran (2:153) M/Mungu anasema, "Innallah Maswabirina," hii inamaanisha kwamba hakuna sehemu ambapo hatufundishi Subira, Uvumilivu hata kwa vile tusivyovipenda. Sasa tatizo uanza wapi?
Tatizo huanza pale tunapojiona tuna haki kuliko, wengine, tunauchungu kuliko wengine na hata tumeshika ukweli kuliko wengine huku hatutaki kusikia upande wenye ukweli kwa sababu unatutia machungu.
Ukiona huna uvumilivu kuusikia ukweli au ukiona huna uvumilivu kusikia upande ambao upo kinyume na wewe, elewa kwamba hauna tofauti na Gaidi. Sema tu umekosa vifaa vya kutimiza ahadi yako!
Tafuteni iliyo kweli nayo itawaweka huru!
Asante, huu ndio ujumbe wangu kwa siku ya leo.
kibaya ni kwamba tunapokuwa na Uwezo wa kufanya hivyo tunajitahidi sana mambo hayo yasifike kwa jamii na tunatumia njia zote kudhibiti sio tu yasifike bali yatakayofika ni yale tu tunayotamani yawe huru kusikika na watu ili kuzidi kuwapumbuza.
Buddha kuna muda aliwahi kusema "Patience is key. Remember: An angry person is always ugly, whether on the inside or the outside."
Sio tu Buddha hata kwa Wakristo, Yesu pia aliwahi kutuonyesha Subira ndio kila kitu, Luka 21:19 "Nanyi kwa subira yenu mtaziponya nafsi zenu".
Na hata katika Quran (2:153) M/Mungu anasema, "Innallah Maswabirina," hii inamaanisha kwamba hakuna sehemu ambapo hatufundishi Subira, Uvumilivu hata kwa vile tusivyovipenda. Sasa tatizo uanza wapi?
Tatizo huanza pale tunapojiona tuna haki kuliko, wengine, tunauchungu kuliko wengine na hata tumeshika ukweli kuliko wengine huku hatutaki kusikia upande wenye ukweli kwa sababu unatutia machungu.
Ukiona huna uvumilivu kuusikia ukweli au ukiona huna uvumilivu kusikia upande ambao upo kinyume na wewe, elewa kwamba hauna tofauti na Gaidi. Sema tu umekosa vifaa vya kutimiza ahadi yako!
Tafuteni iliyo kweli nayo itawaweka huru!
Asante, huu ndio ujumbe wangu kwa siku ya leo.