Munishi aishiwa uvumilivu, Atoa ushauri kwa Rais.

Mwenye mwongozo wa mavazi kwa watumishi wa umma atupie humu ili tusiongee maneno tupu......nafikiri watumishi wa umma wanazuiwa kuvaa mavazi yanayoashiria mlengo fulani, labda tuseme kidini, kiasiasa nk. ndo maana sina uhakika kama utaruhusiwa kwenda kazini umevaa uniform za ccm au chadema ingawaje yanaweza kuwa mavazi ya heshima, lakini kasoro yake ni kwamba yanakutabainisha na mlengo fulani.
Kama unauelawa fulani ivi hebu weka hapa nasi tujue

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye mwongozo wa mavazi kwa watumishi wa umma atupie humu ili tusiongee maneno tupu......nafikiri watumishi wa umma wanazuiwa kuvaa mavazi yanayoashiria mlengo fulani, labda tuseme kidini, kiasiasa nk. ndo maana sina uhakika kama utaruhusiwa kwenda kazini umevaa uniform za ccm au chadema ingawaje yanaweza kuwa mavazi ya heshima, lakini kasoro yake ni kwamba yanakutabainisha na mlengo fulani.

Mavazi hayaashirii dini ya mtu ni wenye afya mbaya ya akili tu ndio hulinganisha dini na mavazi
 
Aache upumbuvu, hata akitembea na magunia hilo halituhusu! Tunachohitaji watanzania ni maendeleo!

Hospitali zina dawa? Vijijini huduma za afya zinafika?

Shule zina vitendea kazi? Walimu wapo?

Barabara zinapitika? Wakulima wanapata pembejeo?

Watumishi serikalini wanapata haki zao?

Wafanyabiashara wanafanya biashara zao kwa uhuru?

Katina inafuatwa?

Tanzania ina utulivu na Amani!

Gurudumu la maendeleo kwa ujumla linaendelea?

Unatuletea mambo ya suti hapa, Mtanzania atakula suti?

Akili za watu wengine sijui wanaziachaga wapi, upuuzi mtupu
Noma sana
 
Aache upumbuvu, hata akitembea na magunia hilo halituhusu! Tunachohitaji watanzania ni maendeleo!

Hospitali zina dawa? Vijijini huduma za afya zinafika?

Shule zina vitendea kazi? Walimu wapo?

Barabara zinapitika? Wakulima wanapata pembejeo?

Watumishi serikalini wanapata haki zao?

Wafanyabiashara wanafanya biashara zao kwa uhuru?

Katina inafuatwa?

Tanzania ina utulivu na Amani!

Gurudumu la maendeleo kwa ujumla linaendelea?

Unatuletea mambo ya suti hapa, Mtanzania atakula suti?

Akili za watu wengine sijui wanaziachaga wapi, upuuzi mtupu
Hata avae gunia sisi inatuusu nini
 
Munishi anasumbuliwa na chuki binafsi dhidi ya dini ya kiislamu. Nakumbuka hata enzi za msoga alimsumbua sana baada ya kuja jiwe(mkiristo) akapotea. Ameingia Samia(muislamu) ameibuka upya. Dawa ya huyu pimbi ni albadil tu maana akichekewa atasumbua sana kama alivyomsumbua mzee jakaya na baadae kukimbilia kenya
Munishi mwenyewe msenge.
 
ndio miaka mingine 10 inapotea hivyo,badae tutajiulizaje nchi imefikishaje 70yrs ikiwa hohehahe
Toa sababu tatu za msingi kwa kile unachokiona wewe RAIS aliyepo madarakani Anakwenda kuturisha nyuma ukilinganisha na maendeleo aliye yakuta kutoka kwa mtangulizi wake.

Pili toa sababu tatu zingine za kukazia HOJA yako kwamba katika kipindi kifupi RAIS toka APRIL hadi SEPTEMBER alicho shika madaraka hakuna kitu kinaendelea cha msingi ili tufahamu na sisi watu wengine.
 
Naomba nipate historia fupu ya mnishi
Alizaliwa Kilimanjaro

Akakulia Arusha na Nairobi

Akawa jambazi

Akaokoka

Akawa muimbaji na muinjilisti

Makazi yake ni Nairobi na Arusha kidogo
 
yaani huyu mpuuzi siku hizi simuelewi kabisa ni tofauti na kipindi cha nyimbo za malebo sasahivi limekuwa kama lishoga fulani tu limeingia kwenye siasa halafu halijui siasa ukimfuatilia utajuwa tu yaani anamaongezi ya kukera sana sasa mtu alikuwa hivyo toka zamani hiyo ni imani yake yaani abadirishe imani yake kwaajii ya kuwa rais? fuata kimoja kuhubiri au uache kuhubiri ufanye siasa ambayo huiwezi
 
Back
Top Bottom