Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
muuza vitumbuamama wa kiswahili muislamu
muuza vitumbuamama wa kiswahili muislamu
Kama unauelawa fulani ivi hebu weka hapa nasi tujueMwenye mwongozo wa mavazi kwa watumishi wa umma atupie humu ili tusiongee maneno tupu......nafikiri watumishi wa umma wanazuiwa kuvaa mavazi yanayoashiria mlengo fulani, labda tuseme kidini, kiasiasa nk. ndo maana sina uhakika kama utaruhusiwa kwenda kazini umevaa uniform za ccm au chadema ingawaje yanaweza kuwa mavazi ya heshima, lakini kasoro yake ni kwamba yanakutabainisha na mlengo fulani.
muuza vitumbua
Ficha ujinga wako.Kama alikubali kuingia kwenye siasa kwa ridhaa yake ni vyema mambo ya ushungi aweke pembeni
Point gani?????!!!!Point
Mwenye mwongozo wa mavazi kwa watumishi wa umma atupie humu ili tusiongee maneno tupu......nafikiri watumishi wa umma wanazuiwa kuvaa mavazi yanayoashiria mlengo fulani, labda tuseme kidini, kiasiasa nk. ndo maana sina uhakika kama utaruhusiwa kwenda kazini umevaa uniform za ccm au chadema ingawaje yanaweza kuwa mavazi ya heshima, lakini kasoro yake ni kwamba yanakutabainisha na mlengo fulani.
Noma sanaAache upumbuvu, hata akitembea na magunia hilo halituhusu! Tunachohitaji watanzania ni maendeleo!
Hospitali zina dawa? Vijijini huduma za afya zinafika?
Shule zina vitendea kazi? Walimu wapo?
Barabara zinapitika? Wakulima wanapata pembejeo?
Watumishi serikalini wanapata haki zao?
Wafanyabiashara wanafanya biashara zao kwa uhuru?
Katina inafuatwa?
Tanzania ina utulivu na Amani!
Gurudumu la maendeleo kwa ujumla linaendelea?
Unatuletea mambo ya suti hapa, Mtanzania atakula suti?
Akili za watu wengine sijui wanaziachaga wapi, upuuzi mtupu
Hata avae gunia sisi inatuusu niniAache upumbuvu, hata akitembea na magunia hilo halituhusu! Tunachohitaji watanzania ni maendeleo!
Hospitali zina dawa? Vijijini huduma za afya zinafika?
Shule zina vitendea kazi? Walimu wapo?
Barabara zinapitika? Wakulima wanapata pembejeo?
Watumishi serikalini wanapata haki zao?
Wafanyabiashara wanafanya biashara zao kwa uhuru?
Katina inafuatwa?
Tanzania ina utulivu na Amani!
Gurudumu la maendeleo kwa ujumla linaendelea?
Unatuletea mambo ya suti hapa, Mtanzania atakula suti?
Akili za watu wengine sijui wanaziachaga wapi, upuuzi mtupu
Munishi kachomoa betri.View attachment 1948144
Munishi anataka Mama awe kama hivi.Kuna jambo anataka kuliona Munishi kama Munishi.
Jambazi Sugu wa zamani Arusha na Kenya ambapo baadae aliokokaNaomba nipate historia fupu ya mnishi
Munishi mwenyewe msenge.Munishi anasumbuliwa na chuki binafsi dhidi ya dini ya kiislamu. Nakumbuka hata enzi za msoga alimsumbua sana baada ya kuja jiwe(mkiristo) akapotea. Ameingia Samia(muislamu) ameibuka upya. Dawa ya huyu pimbi ni albadil tu maana akichekewa atasumbua sana kama alivyomsumbua mzee jakaya na baadae kukimbilia kenya
Toa sababu tatu za msingi kwa kile unachokiona wewe RAIS aliyepo madarakani Anakwenda kuturisha nyuma ukilinganisha na maendeleo aliye yakuta kutoka kwa mtangulizi wake.ndio miaka mingine 10 inapotea hivyo,badae tutajiulizaje nchi imefikishaje 70yrs ikiwa hohehahe
Alichosema ni ujinga. Mungu ni zaidi ya nchi, ila simaanishi kuwa huyu Mama ni mtakatifu. Na uislamu sio uswahili!
Anapakuliwa kunde.Huyu mkuda bado anaishi?
yaani huyu mpuuzi siku hizi simuelewi kabisa ni tofauti na kipindi cha nyimbo za malebo sasahivi limekuwa kama lishoga fulani tu limeingia kwenye siasa halafu halijui siasa ukimfuatilia utajuwa tu yaani anamaongezi ya kukera sana sasa mtu alikuwa hivyo toka zamani hiyo ni imani yake yaani abadirishe imani yake kwaajii ya kuwa rais? fuata kimoja kuhubiri au uache kuhubiri ufanye siasa ambayo huiwezi